Kiutaniutani Trump anaondoka White House

Kiutaniutani Trump anaondoka White House

Nixon alikataliwa na Republican wenziye kwenye Baraza na Senate, Trump ananguvu katika Senate hawawezi kumuondoa Dem wanqchofanya ni kumshtaki kwa wananchi kwa kuanisha makosa yake ili mwaka kesho asichaguliwe, ila naona Trump atqshinda tena
Jamani kimasihara Trump anaondoka ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia waziri wa Mambo ya nje wa urusi ivan ravlov ameenda kuokoa jahazi.

Je ya Richard Nixon yatajirudia?

Democrats wameamua kumng'oa trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili

1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)

2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.

Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!
 
1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)

2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.

[emoji115][emoji115]this will never happen in Africa
Mwaka 2700 yatawezekana
 
Pascal Mayalla,

Rais Magufuli analeta maendeleo,hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake..

au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda

au wafukunyuku kama Ben Saanane

miili ya watu kuokotwa kwenye viroba,simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public..

if that is the price of developments TZ wants,we will pay that price

vile vipengele vya ibara ya 46 kwenye katiba yetu,viliwekwa tu kuwafurahisha wafadhili

kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa na funga kazi ni 2020

*Paskal umekata tamaa ya U DC.!?
not 2 that extent...walahiii.
 
Ulianza kuongea vzr lkn huku mwishoni kuhusu magufuli ukaongea ujinga sana hata sikutegemea kama ungeweza kuongea hivyo, yani nikazani umetoa maneno kwa lusinde au bashite
Alichoandika mayalla kina ukweli flani tujifunze kuvumiliana hatuwezi kufikiri kumoja haiwezekani na haitawezekana tukosoane kistaarabu pale ambapo hatutakiwi kutumia nguvu.
 
Hakustahili kuwepo pale alipo, Wamarekani hawamkubali yule jamaa na hata akipokonywa kiti kitachofuata ni shangwe tu kwa Wamarekani
Usidanganyike. Ongea na Wamarekani. Utakachogundua Wamarekani wengi wanampenda Trump kutokana na yeye kuujenga uchumi wa Marekani.

Pia Trump hajawahi kuvunja katiba, hajawahi kumwonea mtu, hajawahi kulipiza kisasi kwa yeyote.

Kinachofanyika sasa ni matokeo na mwendelezo wa siasa za uchaguzi ulimwacha Mama Clinton skikosa Urais bila kutarajia.

Mama Clinton aliwekeza sana kwenye media wakati wa kampeni kiasi cha kuionesha Dunia na Wamarekani kuwa amekwishashinda Urais. Trump aliwekeza kwenye mipango ya ushindi bila kuihusisha media kwa kiasi kikubwa, hakuwa na habari na media ambayo ilionekana kumponda wakati wote.

Trump aliposhinda, bado media na diehards wa Clinton waliendelea kuwapa moyo mashabiki wao kuwa Trump ataondolewa. Wakati wote zimekuwa zinatengenezwa tuhuma ambazo nyingi siyo za kweli. Hata akitamka jambo, media hulipotosha ili ionekane ni Rais wa ajabu na asiyetakiwa. Trump alipogundua hilo, muda mwingi ameamua kutumia twiter badala ya kuzungumza na wanahabari.

Wapo walihadaiwa na media wakati fulani lakini kadiri siku zilivyoenda, watu wakaamua kupuuza vyombo vya habari na wale wanaohangaika kumchafua Trump.

Kuna wakati mmoja nilikuwa nikiongea na Askofu mmoja Mmarekani wa makanisa haya ya Kiroho (ambayo ni very popular US), akasema Wamarekani tunampenda Trump. Media bado ipo kwenye kampeni lakini Wamarekani tunaye Rais anayeujenga uchumi wa Marekani, anayetengeneza ajira, anayetazama maslahi ya waliomchagua, na ambaye wakati wote hana muda wa kulipiza kisasi kwa wanaotengeneza majungu dhidi yake.
 
Huyo p mayalla hana tofauti na yule mfungwa wa mbeya aliyekataa kutoka jela p mayalla anaiona Lumumba kama altare ya bwana inayoweza kugeuza mkate kuwa mwili na divai kuwa damu maisha yaende tu
Hapana msitake aandike kinacho wafurahisha tu.
Acha aandike mawazo yake tukosoane kwa hoja
 
Mstarabu hajawahi kuandika upuuzi hata siku moja
Alichoandika mayalla kina ukweli flani tujifunze kuvumiliana hatuwezi kufikiri kumoja haiwezekani na haitawezekana tukosoane kistaarabu pale ambapo hatutakiwi kutumia nguvu.
 
Hapa Tanzania Spika wa Bunge hamwachi Rais wetu alale usingizi. Kila mara anamsumbua ili amwelekeze ni namna gani yeye Spika aliongoze Bunge..
Spika wetu hafai hata ujumbe wa mtaa basi tu ni Zari za lina lilimwangukia kiaina
 
Mkuu Pascal Mayalla kama unayajua yote haya kwanini unakengeuka,humuogopi bwana Mungu wako?

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.


P
 
Bams, Huu unaweza kuwa ukweli 95% kwasababu taifa la Marekani Raisi hawezi kuvunja, kukandamiza katiba Marekani si Afrika mtu aamke na kupanga mawazo yake isivyo mazingatio ya katiba ni vigumu mno kwasababu wengi hutawala kwa maslahi ya taifa.
Hata akivunja katiba ni inje ya wa Marekani kama tulivyo shuhudia Iraq, Afghanistan na Libya ikitumika nguvu isiyo ya kawaida kwa maslahi ya taifa la Marekani na washirika wake.
 
The 2 articles of impeachment against President Trump explained – and what happens next

WASHINGTON – The House Judiciary Committee on Tuesday unveiled two articles of impeachment against President Donald Trump.
The articles – abuse of power and obstruction of Congress – are charges of wrongdoing that lay out specific assertions of how the president violated the U.S. Constitution and the oath of his office.
Each of the articles will be voted on separately by the Judiciary Committee with deliberations starting Wednesday at 7 p.m. and a vote expected on Thursday. The panel has 24 Democrats and 17 Republicans.
Those articles the committee approves will go to the full House for a vote, probably with a simple majority in the Democratic-controlled body on each article.
Those that pass will be sent on to the Senate, which must hold a trial. If two-thirds of the Senate, or 67 senators, vote to convict, Trump would be removed from office and Vice President Mike Pence would become commander in chief.

Pathway of the impeachment process: How it works, where we are
How to stay updated on USA TODAY's impeachment coverage
The articles are drawn from the work of the House Intelligence Committee, which released a 300-page report on the investigation last week.

Here is each article explained:
Abuse of Power
The allegation of abuse of power stems from Trump's decision to withhold roughly $400 million of congressionally approved military aid from Ukraine until the country announced an investigation into former Vice President Joe Biden, a political rival.

A meeting with Trump at the White House that Ukrainian President Volodymyr Zelensky wanted was also dangled as a condition for the announcement of an investigation.
In a July 25 phone call, Trump urged Zelensky to investigate Biden, and his son, Hunter, who worked for the Ukraine energy company Burisma Holdings. The "favor," as Trump described it, was made despite a lack of evidence that Biden or his son had engaged in corrupt activities, according to the House Intelligence report.

Democrats allege the pressure Trump exerted on a foreign ally amounted to an unconstitutional use of his office for political and personal gain by trying to wound a top opponent in a way that would help Trump win re-election in 2020.
Judiciary Chairman Jerry Nadler, D-NY, said the president sought "to obtain an improper personal benefit while ignoring or injuring the national interest."
Trump and his GOP allies have dismissed the allegation, saying the aid was released and Ukraine never made an announcement to investigate the Bidens. In addition, they point to Zelensky's statements that he never felt pressure to act in exchange for the aid.
Trump said Zelensky's denial is proof that he "has done nothing wrong with respect to Ukraine and our interactions or calls."

Obstruction of Congress
The allegations of obstruction are based on Trump’s lack of cooperation with the House inquiry, including defying subpoenas for documents and testimony.
White House counsel Pat Cipollone wrote in an Oct. 8 letter to Pelosi and other House leaders that the inquiry is being conducted in a manner that "violates fundamental fairness and constitutionally mandated due process."

But Democrats say the decision to withhold documents and prevent witnesses from testifying as part of the Ukraine probe violates the fundamental check-and-balance system between the branches of government the country's founders said was vital to the republic's survival.
The White House prevented a number of mid-level and top staffers from testifying, in part because the process wouldn't allow the president to call or cross-examine witnesses. Trump tweeted last month he wanted people to testify but was "fighting for future presidents and the Office of the President" by not letting them appear before Congress.
Despite the directive not to appear, several administration officials did testify under subpoena.
The Intelligence report said Trump intimidated witnesses who appeared before the Intelligence Committee as part of the inquiry by questioning their patriotism and subjecting them to mockery.
Contributing: Bart Jansen
 
Trump amenyanyua sana uchumi wa Marekani, hakuna wakumtoa, ndio rais anaeongoza kwa kutengeneza ajira nyingi, hizo nyingine ni propaganda tu za vyombo vya habari

_108995805_usgdp-nc_2.jpg
 
Back
Top Bottom