Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P hata leo umenilet down. uliyoandika ni ya mwana kijiji. waachie wao. naona unazidi kuweka taaluma yako ya sheria pembeni. na pengine ni kweli wewe si mwanasheria, ulisomea sheria. academic! mwanasheria anashindia, anawaza, akilala anaota sheria. oxygen yake ni sheria. mitazamo yake ni kisheriasheria hadi kero. kuvaa, kutembea, taja chochote au lolote kwake sheria tu.Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.
The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.
Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.
Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.
Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.
Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.
If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
S/Africa hio wanaweza kuifanya bila shida.Anawajibishwa kwa[emoji117][emoji117][emoji117]
1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)
2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.
[emoji115][emoji115]this will never happen in Africa superbug,
Tatizo ni moja tu,Saudi Arabia ndio walishambulia ,marekani wakaenda kupiga afaghnistan na Iraq,Pascal Mayalla,
Wewe ungekuwa ndiye Rais wa USA kisha uone ile minara pacha inaangushwa kimasihara masihara mbele ya macho yako unashuhudia watu 3500 wanaanguka sijui ungeambia nini wamarekani wakuelewe na wanavyojua kudeka kwa Rais wao pale wanapopata tatizo la ugaidi. Hata hivyo kupiga Kabul na Baghdad pekee Bush alitumia upole sana. Uwe Rais wa USA kisha uone kindege from no where kinapenya mabehewa saba ya Pentagon hujakaa sawa vingine viwili vinapishana kwa dakika tano ku hit perfectly ile minara pacha hujakaa sawa unaambiwa kuna kingine kimoja kilikuwa kinakufuata sema tu kimechelewa na sisi tumeshapata taarifa za yaliyotokea kisha tukakiangushia hapa...wewe acha kabisa!
Umejitahidi kuandika lkn wenzetu wanajali democrasya hawajali matumbo yao na wanatofautisha sana bunge na mahakama zisiingiliwe na muhimili mwengine kwani watajua kama mbele italeta athari lkn huku kwetu Africa bunge limeingiliwa na mahakama ndiyo kabisa wengine wanamsifia MTU ambae katiba kaitia mfukoniMimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.
The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.
Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.
Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.
Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.
Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.
If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Wenzetu wanajielewa hawaendeshwi kwa kumsifia mtu na wala hawataki matamshi ya kumwambia spika ww washuhulikie ndani ya bunge wakitoka njee nitawashuhulikia mm njee ya bungeTrump hawezi kuondolewa. Kinachoganyika ni kumnyanyasa na kumkejeli. Hata wanaosema wanaanzisha mchakato wa kumwondoa wanajua kabisa hawatamwondoa.
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.
The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.
Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.
Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.
Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.
Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.
If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Mkuu Bungua, kwa vile huma jf tunajuana, japo sina uhakika kwa sababu hakuna research yoyote ambayo imefanyika kuthibitisha hili, lakini naamini, hakuna mwana jf, ambaye amelipigia kelele hili la udikiteta wa Magufuli, kama mimi.P hata leo umenilet down. uliyoandika ni ya mwana kijiji. waachie wao. naona unazidi kuweka taaluma yako ya sheria pembeni. na pengine ni kweli wewe si mwanasheria, ulisomea sheria. academic! mwanasheria anashindia, anawaza, akilala anaota sheria. oxygen yake ni sheria. mitazamo yake ni kisheriasheria hadi kero. kuvaa, kutembea, taja chochote au lolote kwake sheria tu.
marekani sio tanzania, ukishtakiwa upelelezi umekamilika. mashtaka tumeyaona wote. kwa mwanasheria yana maana kubwa. hatuendi kwenye uchaguzi bali impeachment. huko sio popular vote na ambayo ilimkataa trump save electoral college.sijui kama zile kura milioni tatu kazipunguza au zimezidi na kuwa milioni tano! tuhuma nzito.ushahidi ukoje? nusanusa kama mwanasheria na si mwanakijiji. mimi na wengi tulitaka kuona jibu la hilo kutoka kwako. mapenzi yako sawa unayo na kwa nani potelea pote. anafanya nini, anapendwa vipi na mengine kibao ya uzuri wake hashtakiwi kwayo. P tenda haki jikite kwenye tuhuma na ushahidi uliopo.
Umejitahidi kuandika lkn wenzetu wanajali democrasya hawajali matumbo yao na wanatofautisha sana bunge na mahakama zisiingiliwe na muhimili mwengine kwani watajua kama mbele italeta athari lkn huku kwetu Africa bunge limeingiliwa na mahakama ndiyo kabisa wengine wanamsifia MTU ambae katiba kaitia mfukoni
ahsante kwa yote. mwandishi mzuri kwa mambo popular. mwanahabari habari wa kawaida. kwa leo mada ni impeachment ya trump. swali ni wastage of time and money, really? na kama ni hivyo kwetu ndio kabisa wasithubu! hata hizo kelele zao waache kabisa. wasubiri wakiwa tayari kufa waingie mtaani kupinga udikteta. rais wa wanyonge hatangoja wamwage damu, wakikojoa tu wameisha. rais anaumia kutawala wafungwa na mahabusu. magereza na mahabusi zimejaa kwa maelekezo kutoka juu kwa rais huyohuyo kipenzi cha watu.Mkuu Bungua, kwa vile huma jf tunajuana, japo sina uhakika kwa sababu hakuna research yoyote ambayo imefanyika kuthibitisha hili, lakini naamini, hakuna mwana jf, ambaye amelipigia kelele hili la udikiteta wa Magufuli, kama mimi.
Matakwa ya katiba, sheria, taratibu na kanuni ni jambo moja, na matakwa ya Wananchi, wanataka nini ni jambo jingine.
Kuna kitu kinaitwa, "is" and "ought". Is ni kile kinachofanyika sasa, ought ni kile kilichopaswa kufanywa na kufanyika.
Magufuli tumemchagua kwa mujibu wa katiba na akaapa kuilinda katiba, lakini katika kutimiza maendeleo anayoyataka, akajikuta akiifuata katiba, itamchelewesha, hivyo akaamua kuikanyaga katiba ili kuwaletea Watanzania Maendeleo.
Kama wananchi wanachotaka ni maendeleo, na hata kama maendeleo hayo yatapatikana kwa udikiteta, then Magufuli is their hero.
Karibu baadhi ya mada zangu za udikiteta
P
- Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi ...
- Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
- Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali ...
- Udikiteta ni Dhana Tuu or ni Real?. "Lets Call A Spade A Spade ...
- Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio ...
- Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
- Fungia Fungia Magazeti: Ni Udikiteta wa Serikali Magufuli ...
- Gwiji wa Sheria na Katiba, Prof. Issa Shivji, Agoma Kuzungumzia ...
- UDIKTETA: Hongera Sana TWAWEZA, TZ hakuna Udikteta! Ila ...
- Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni ...
- Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
- Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili ...
- Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu ...
- Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
- CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...
- Timua Timua CCM, Hongera M/Kiti Magufuli, Wapinzani Mjifunze ...
- Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
- Kanda ya Ziwa na kuongea kwa ukali: Ukali wa Rais Magufuli ni ...
- Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
https://www.jamiiforums.com/threads...t-it-a-nuisance-je-2020-ni-ccm-pekee.1635309/
Huwa nalikumbuka swali lako tu ulilomuuliza mkulu dah niswali bora la muda woote mayalla njaaaMimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.
The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.
Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.
Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.
Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.
Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.
If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Ungesema asiamini Democrats.Trump haendi popote.. usiamini sana CNN, MSNBC na ABCNews..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Humu kuna wamarekani wengi sana!
Mwingine anaishi kule kwenye mashimo ya rejects waliotelekezwa na jamii, naye anajua mustakabali wa Trump kwa vile tu yuko Marekani!
Mwingine naye aliajiriwa na CCM kuwa mpiga propaganda (wenyewe wanajiita usalama wa Taifa), na yeye pia anajua mambo yote ya siasa za Marekani kutokana na "ujasusi" wake nguli.
The bottom line ni kwamba, ninyi ni waswahili tu. Hamjui lolote wala hamna upeo wa ku comprehend levels za civilization za watu weupe katika dunia ya kwanza.
Mjikite tu kupiga porojo uchwara kuhusu madikteta uchwara wa humu Tanganyika!
Nje na hapo, ufahamu wenu ni kiduchu mno!
Acha uongo trend ilianza kipindi cha mwisho cha Obama, kama alinyanyua uchumi wa marekani republican wasingepoteza majority kwenye house of representative kipindi cha mid tearm electionTrump amenyanyua sana uchumi wa Marekani, hakuna wakumtoa, ndio rais anaeongoza kwa kutengeneza ajira nyingi, hizo nyingine ni propaganda tu za vyombo vya habari
Subiria 2021Acha uongo trend ilianza kipindi cha mwisho cha Obama, kama alinyanyua uchumi wa marekani republican wasingepoteza majority kwenye house of representative kipindi cha mid tearm election