YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Godbless Lema ni mmoja wa wawekezaji ambaye alinunua hadi mitambo ya kujenga kiwanda cha kutengeneza toothpick na leseni ili nchi isiendelee kuagiza toka nje kipindi hiki cha serikali ya Awamu ya Tano.
Kama kimeshakamilika ni vizuri akakitumia kueleza mafanikio yake alivyosaidia nchi kwa kuokoa pesa za kigeni na kuunga mkono juhudi za serikali za ujenzi wa viwanda na kuongeza ajira kwa wasiokuwa nazo.
Godbless Lema aliitikia wito wa Serikali wa ujenzi wa viwanda sijui kwa nini anaona aibu kusimama na kusema mimi ni mmoja niliyejenga kiwanda. Anafanya siri ili iweje?
Upinzani mara ingine unaonekana bogus bila sababu wakati kuna vitu vipo na upinzani umefanya vya kusaidia nchi na jamii lakini mtu anakauka tu ili tu ionekane Serikali haijafanya kitu .Sema basi walau chako ulichofanya,Usiposema Serikali inaonekana haijafanya kitu na wewe hujafanya kitu so what?
Kama kimeshakamilika ni vizuri akakitumia kueleza mafanikio yake alivyosaidia nchi kwa kuokoa pesa za kigeni na kuunga mkono juhudi za serikali za ujenzi wa viwanda na kuongeza ajira kwa wasiokuwa nazo.
Godbless Lema aliitikia wito wa Serikali wa ujenzi wa viwanda sijui kwa nini anaona aibu kusimama na kusema mimi ni mmoja niliyejenga kiwanda. Anafanya siri ili iweje?
Upinzani mara ingine unaonekana bogus bila sababu wakati kuna vitu vipo na upinzani umefanya vya kusaidia nchi na jamii lakini mtu anakauka tu ili tu ionekane Serikali haijafanya kitu .Sema basi walau chako ulichofanya,Usiposema Serikali inaonekana haijafanya kitu na wewe hujafanya kitu so what?