dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Gentamycine a@@GENTAMYCINE hayupo Kweli kwenye huo dili.
Mnk cjamuona humu
Mnk cjamuona humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa wee ndio umewachongea kwa husda zakoNina Mwana ( Rafiki ) hapo najua nae atakuwa Kakamatwa japo nilimuonya sana hakusikia.
Bora umesema ukweli kina genta wameanza kudanganya watuPana watu wanadhani ni Biscuit hizo za madukani hapana kwa jinsi hizo Skanka zinavyogandamizwa zinakua kama biscuits ili kurahisisha kusafirisha na package yake ila ni bangi tuu hiyo na wateja wake wengi ni wageni kwenye Club na hao wadada wa Mjini...Kilo moja ya Skanka inaweza kufika laki nane harafu ndio uzikute hizo biscuits kwenye maduka ya Mangi hakuna kitu kama hicho...
Wala watot hawahisiki hapo zile haziji mtaani Kama biscut za kawaida hz Ni biashara xa watu wenye pesaHatari sana hiii haiko sawa kwa hawa watoto wetu naipongeza sana mamlaka
Kwa hiyo kifo ni adhabu!? Wote waliochukuliwa na Mungu ni watu wabaya!? Na sisi tulio bado tuko hai ndiyo watu wema!?He was a sadist, we should thank God kwa kumuondoa yule kiumbe
Unataka kutumia au umeshaanza ku
mimi ni mtumiaji since day oneUnataka kutumia au umeshaanza kutumia bangi?
Wanakataza bangi wanaruhusu ushoga [emoji23]sheria za kikoloni zinakiuka haki za binadamu
Huu ni uongo, tena uongo uliotukuka.Binafsi na kwamifano niliyoiona, bangi ni tatizo kubwa, na kweli inaleta shida hasa kwa vijana wengi walio kwenye makundi tofautitofauti, ukichaa au kurukwa na akili uwezekano wake kutokea ni mkubwa sana, tofauti na jinsi watumiaji wanavyojaribu kuipamba na kuitetea! Hayo ma-skank huchelewi kucheza mbali na cannabis induced psychosis, vijana wengi wamekuwa waluwalu, wanajifanya wapo fasta hata pasipo sababu, kutengeneza sentensi akaeleweka hawezi, yaani taabu tupu, kumbe ubongo umeshavurugika!
Elezea kwa hoja huo uongo uliotukuka! Nyie ndio walewale mnatuharibia vijana mtaani.Huu ni uongo, tena uongo uliotukuka.
Binafsi na kwamifano niliyoiona, bangi ni tatizo kubwa, na kweli inaleta shida hasa kwa vijana wengi walio kwenye makundi tofautitofauti, ukichaa au kurukwa na akili uwezekano wake kutokea ni mkubwa sana, tofauti na jinsi watumiaji wanavyojaribu kuipamba na kuitetea! Hayo ma-skank huchelewi kucheza mbali na cannabis induced psychosis, vijana wengi wamekuwa waluwalu, wanajifanya wapo fasta hata pasipo sababu, kutengeneza sentensi akaeleweka hawezi, yaani taabu tupu, kumbe ubongo umeshavurugika!
Sijamaanisha hivyo. Siyo wote waliyokufa ni wabaya au wema hivyo hivyo hata sisi tulio hai siyo wote ni wazuri au wabaya. Mfano mzuri ni Bashite na Jiwe mmoja yuko hai na mwingine ni mfu na wote ni kama unavyowajuaKwa hiyo kifo ni adhabu!? Wote waliochukuliwa na Mungu ni watu wabaya!? Na sisi tulio bado tuko hai ndiyo watu wema!?
Ni uongo kwa sababu maelezo yako umeandika bila data...Nilete hoja gani kwenye maelezo ambayo hayana data ??Elezea kwa hoja huo uongo uliotukuka! Nyie ndio walewale mnatuharibia vijana mtaani.
YOU' RE A WASTE AND A WASTE OF TIME.Ni uongo kwa sababu maelezo yako umeandika bila data...Nilete hoja gani kwenye maelezo ambayo hayana data ??
Umesema sisi ndio tunaoharibu vijana lakini Kwa maelezo yako inaonyesha wewe ndiye umeharibika.
Ha ha ha!! Rudia kusoma ulichoandika alafu ondoa neno ..You're.. then tamka kwa sauti kubwa kwa kuanza na neno " I'm "YOU' RE A WASTE AND A WASTE OF TIME.