Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Sawa mkuu...Ok.., nimekuelewa. Yawezekana nilielewa vibaya mwanzoni.
Shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu...Ok.., nimekuelewa. Yawezekana nilielewa vibaya mwanzoni.
Sawa mkuu...
Shukrani
Korie inamadhara gani mwiliniKorie nikitimoto hamsemi
Turn on Ultra-Power
Kitu kinauzwa kwa gram siyo masihara!!Hizo ''biskuti'' hawauzi hovyo hovyo. Ni maalum kwa watu maalum. Kwanza bei yake utaiweza? Unadhani wanauza kwa bei ya biskuti za kawaida au wanasambaza madukani?
Hasa hizi za Happy birthdayHizo biscuits inaonekana zinatengenezwa in small scale sio production kubwa kutokana na maelezo ..na walengwa watakuwa special market. Serikali ifanye uchunguzi pia kwa watengenezaji wa keki maana zinaweza zikawepo keki za madawa ya kulevya kama cocaine etc..
Bakita ulienda peke yako... ni biskuti za bangi au ni bangi za biskuti? Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa! Nyoosheni maelezo maana ishaleta taharuki humu.
Hahaha..kivipi mkuu?Lazima ushangae kwasababu umekua brainwashed kuhusu huu mmea ( bangi )
Soma kwa undani structure ya bangi,,Hahaha..kivipi mkuu?
Hadi umri huu situmii na sijawahi kutumia pombe, sigara au bangi .
Ukiachilia tu trace amount ya alcohol kwenye dawa labda za hospital nayo ni acceptable level .
Sasa huo uzuri wa hivyo vitu ni upi labda unieleze.
Nachofahamu tu tofauti ya bangi na sigara ni , Nicotine is more dangerous kuliko tetrahydrocannabinol 9 inayopatikana kwenye bangi.
Kuna dogo mmoja yeye ni pusher wa skanka,yeye kuanzia saa sita mpaka usiku wa manage ana supply hyo kituKuna kitu nimekigundua zama hizi tuendako wadada wataongoza kwa kunywa na kuvuta bangi na sigara kuliko wanaume.
Kuna siku nilishangaa dada mmoja advocate mzima smart kabisa kimuonekano watoto wa mjini wanaita pisi kali anavuta bangi baada ya kutembelea maeneo ya kwake ghafla nilishangaa sana.
Unaweza pia ukaja itumia bangi kama tiba pia....Hahaha..kivipi mkuu?
Hadi umri huu situmii na sijawahi kutumia pombe, sigara au bangi .
Ukiachilia tu trace amount ya alcohol kwenye dawa labda za hospital nayo ni acceptable level .
Sasa huo uzuri wa hivyo vitu ni upi labda unieleze.
Nachofahamu tu tofauti ya bangi na sigara ni , Nicotine is more dangerous kuliko tetrahydrocannabinol 9 inayopatikana kwenye bangi.
He was a sadist, we should thank God kwa kumuondoa yule kiumbeThe good old days of tough-on-crime Magufuli administration are long gone. The country has gone back to the pits.
Bangi iko schedule I kwa mujibu wa mgawanyo wa dawa zenye kuleta uraibu kwa kiwango kikubwa hadi kidogo.Unaweza pia ukaja itumia bangi kama tiba pia....
Ova
Asee....Kuna dogo mmoja yeye ni pusher wa skanka,yeye kuanzia saa sita mpaka usiku wa manage ana supply hyo kitu
Kwa wateja wake
Wengi wao madem tena wengine wakali....na wengine wana professional zao .....muda wote yuko na bodaboda kama kishada
Ova
kuna mafuta mpaka manukato pia ni mboga nzuri sana kwa ugaliKwaiyo skuhizi tuna Wala bange sio tena wavuta bange[emoji848]