Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

Bora umesema ukweli kina genta wameanza kudanganya watu
 
Binafsi na kwamifano niliyoiona, bangi ni tatizo kubwa, na kweli inaleta shida hasa kwa vijana wengi walio kwenye makundi tofautitofauti, ukichaa au kurukwa na akili uwezekano wake kutokea ni mkubwa sana, tofauti na jinsi watumiaji wanavyojaribu kuipamba na kuitetea! Hayo ma-skank huchelewi kucheza mbali na cannabis induced psychosis, vijana wengi wamekuwa waluwalu, wanajifanya wapo fasta hata pasipo sababu, kutengeneza sentensi akaeleweka hawezi, yaani taabu tupu, kumbe ubongo umeshavurugika!
 
Msisahau kwamba Bange ni dawa, dawa safi sana ya magonjwa sugu ya Kisukari, Mapigo ya moyo, kupooza nk
 
Huu ni uongo, tena uongo uliotukuka.
 
Upo sahihi kabisa. Bhange ni starehe inayohitaji ustaarabu sana sio kitu ya kufululiza kutumia
 
Kwa hiyo kifo ni adhabu!? Wote waliochukuliwa na Mungu ni watu wabaya!? Na sisi tulio bado tuko hai ndiyo watu wema!?
Sijamaanisha hivyo. Siyo wote waliyokufa ni wabaya au wema hivyo hivyo hata sisi tulio hai siyo wote ni wazuri au wabaya. Mfano mzuri ni Bashite na Jiwe mmoja yuko hai na mwingine ni mfu na wote ni kama unavyowajua
 
Elezea kwa hoja huo uongo uliotukuka! Nyie ndio walewale mnatuharibia vijana mtaani.
Ni uongo kwa sababu maelezo yako umeandika bila data...Nilete hoja gani kwenye maelezo ambayo hayana data ??

Umesema sisi ndio tunaoharibu vijana lakini Kwa maelezo yako inaonyesha wewe ndiye umeharibika.
 
Ni uongo kwa sababu maelezo yako umeandika bila data...Nilete hoja gani kwenye maelezo ambayo hayana data ??

Umesema sisi ndio tunaoharibu vijana lakini Kwa maelezo yako inaonyesha wewe ndiye umeharibika.
YOU' RE A WASTE AND A WASTE OF TIME.
 
Unakutana na kitoto kina kudindia kwelikweli,kumbe kishakula bangi zake hakijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…