Tatzo unakuta meneja nae n mbogamboga sema ukweli kama kodi lukuki,bei ya dizel ndio imesababisha mshindwe kuendesha kiwandaTaarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati.Je kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?
Huyu bibi akili yake anaijua mwenyewe! Mtu kama Makamba sijui alifikaje kwenye post hiyo! He is stupid sijawahi ona!Kipara atakuwa ameshakichukia hicho kituo cha utv, na anavyojua kutengeneza kinyongo.
Tatizo ni kwamba Makamba ni mgeni na mama hana maarifa hivyo watumishi wanawachezeaTaarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati.Je kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?
Kama umeme hautoshi utawaadhibu vipi Tanesco?Taarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati.Je kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?
Mmeipenda wenyewe mbambamba chaguo lenu milelee nawavimbe wapasukeee acha waisome namba eeee ccm MBELE kwa mbeleee....Taarifa ya habari ya UTV imeripoti leo magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji.
TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli ambayo pia yanasaidia uzalishaji kidogo kwa ajili ya miradi ya kimkakati.Je kwanini uongozi wa Tanesco usiadhibiwe kwa kushindwa kuondoa hili tatizo?
Kwa hali hii kweli tuko serious kuita wawekezaji kuanzisha viwanda nchini? Kwa nini haya matatizo ya TANESCO yamekuwa mengi katika siku za karibu?