Kiwanda cha Coca Cola kinauza soda chafu

Kiwanda cha Coca Cola kinauza soda chafu

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
Muda mfupi uliopita nimefungua soda ya fanta orange nikainywa kama mara mbili na kuiweka mezani ghafla nikashtuka kuona kitu cha rangi kama nyeusi kwa chini ya chupa, ikabidi nimwage soda kwenye sink kitu hicho kiligoma kutoka hadi imebidi nitumie opener ya wine kukitoa ndani ya chupa.

Muda huo ndipo nikagundua ni kipande cha mbao, nimepiga picha na chupa ninayo

NB: Nimenunua crate zima na soda nimefungulia nyumbani, picha hizo ni kabla ya kukitoa hicho kipande cha mbao na baada.

IMG_20221231_201157_9.jpg
IMG_20221231_201205_0.jpg
IMG_20221231_201210_4.jpg
IMG_20221231_201325_9.jpg
 
Kwakawaida process ya kuosha mpk kuiziba soda nikazi ya mashine. .ilakuna process yaukaguzi karibu na mwisho kwenye mzunguko wauzalishaji hii hatua hukaguliwa na mwanadamu hapa ndio anaetakiwa kutoa vitu vyote visivyohitajika possible hatua makini
 
Muda mfupi uliopita nimefungua soda ya fanta orange nikainywa kama mara mbili na kuiweka mezani ghafla nikashtuka kuona kitu cha rangi kama nyeusi kwa chini ya chupa,ikabidi nimwage soda kwenye sink kitu hicho kiligoma kutoka hadi imebidi nitumie opener ya wine kukitoa ndani ya chupa

Muda huo ndipo nikagundua ni kipande cha mbao,nimepiga picha na chupa ninayo na kipande hicho nimerudishia

NB
Nimenunua crate zima na soda nimefungulia nyumbani

View attachment 2464748View attachment 2464749View attachment 2464750View attachment 2464753
Hili nalo nendeni mkalitizame
 
Muda mfupi uliopita nimefungua soda ya fanta orange nikainywa kama mara mbili na kuiweka mezani ghafla nikashtuka kuona kitu cha rangi kama nyeusi kwa chini ya chupa,ikabidi nimwage soda kwenye sink kitu hicho kiligoma kutoka hadi imebidi nitumie opener ya wine kukitoa ndani ya chupa

Muda huo ndipo nikagundua ni kipande cha mbao,nimepiga picha na chupa ninayo na kipande hicho nimerudishia

NB
Nimenunua crate zima na soda nimefungulia nyumbani

View attachment 2464748View attachment 2464749View attachment 2464750View attachment 2464753
Hivi bado Kuna watu wanakunywaga soda. Yaani mie nishahaau kitambo mno kunywa soda. Sijui haya ma energy,apple punch ya mo,azama,sayona,Jambo ndio kabisa hayajawahi pita mdomoni mwangu jamani.
Ila kweli watanzania tuna hela ya kuwekeza kwenye juisi in Prof Muhongo voice
 
Unakula vichafu vingapi 😂😂😂 we kunywa soda na tutaaminije kama hujaweka ww hicho kimbao tuonyeshe na kreti
 
Muda mfupi uliopita nimefungua soda ya fanta orange nikainywa kama mara mbili na kuiweka mezani ghafla nikashtuka kuona kitu cha rangi kama nyeusi kwa chini ya chupa,ikabidi nimwage soda kwenye sink kitu hicho kiligoma kutoka hadi imebidi nitumie opener ya wine kukitoa ndani ya chupa

Muda huo ndipo nikagundua ni kipande cha mbao,nimepiga picha na chupa ninayo na kipande hicho nimerudishia

NB
Nimenunua crate zima na soda nimefungulia nyumbani

View attachment 2464748View attachment 2464749View attachment 2464750View attachment 2464753
Kwasababu ushafungua chupa, unaweza kuambiwa unachafua tu kampuni. Umetumwa na mshindani.
 
Back
Top Bottom