Kiwanda cha Coca Cola kinauza soda chafu

Kiwanda cha Coca Cola kinauza soda chafu

Upo wapi mkubwa? Kama mnavyojua Coca cola hapa Tanzania zinazilishwa na Bonite Bottlers na Coca cola kwanza.
Eneo lako ndio litafanya tujue nani amezalisha hiyo Coca cola yako.!!
Pole mkuu,ajali kazini sawa na kondomu kupasuka wakati wa kunyandua.
 
Upo wapi mkubwa? Kama mnavyojua Coca cola hapa Tanzania zinazilishwa na Bonite Bottlers na Coca cola kwanza.
Eneo lako ndio litafanya tujue nani amezalisha hiyo Coca cola yako.!!
Pole mkuu,ajali kazini sawa na kondomu kupasuka wakati wa kunyandua.
Niko Lake zone,hii ni coca cola kwanza
 
Mkuu una akili timamu ? Niharibu biashara ya watu ili nifaidike nini masikini kama mimi ? ,Sina interest yoyote na post hii
Nina akili timamu, mimi ni wa kitambo zamani kulikuwa na ushindani wa aina hii wa kuharibiana na baadhi ya biashara ziliharibika kweli sio mchezo.
 
Hicho kipande kitakuwa kimetoka kwenye pallet ni bahati mbaya tu. Ila bado hujawharibia soko..
 
Back
Top Bottom