Kiwanda cha Coca Cola kinauza soda chafu

Kiwanda cha Coca Cola kinauza soda chafu

Soda inayotengenezwa chini ya uangalizi maalum ni Sprite! Ma boza yanahusika kunapokuwa na shida ya maji. Sasa si unajua Boza maji zinakotoa? Nunua matunda mkuu mpe shemeji akutengenezee Juice
 
Soda inayotengenezwa chini ya uangalizi maalum ni Sprite! Ma boza yanahusika kunapokuwa na shida ya maji. Sasa si unajua Boza maji zinakotoa? Nunua matunda mkuu mpe shemeji akutengenezee Juice
Ni sahihi, nimeona ata mimi niache haya mambo ya soda
 
tanzania ndio nchi chupa za soda zinarudishwa ila kwa wenzetu chupa za soda au bia zinatupwa na kurudishwa kiwandani kusagwa kwa ajili ya kutengeneza chupa mpya
Unajisikia ulichokiongea mkuu?
 
Hawatoi hela. Nakumbuka nilikuwa na kiosk, kile kilichotengenezwa kwa mfano wa chupa ya Coca. Mara kwa mara nilikuwa nakutana na masoda machafu, nazipeleka kiwandani, hupewi hela ila unapewa soda za kutosha. Kuna siku walinipa crate tatu
 
Nchi masikini unaweza kununua soda chupa imepauka utakuta imetumika kwa watu 20 na imetembea nchi nzima chupa hiyo hiyo

Kama unabisha andika namba yako ya simu kama hujapigiwa kutoka simiyu na wewe uko Dar [emoji1] [emoji1787] [emoji23] joking

Ila wanaiaibisha kampuni kubwa namna hiyo kwa kuzungusha chupa zilizochakaa mpaka maandishi yamefutika

Hivi hawana wakaguzi wa nje?
Hapo ilikuwa upeleke ukadai fidia kiwandani kabisa au kuwatumia email na picha zote wahusika
 
Nchi masikini unaweza kununua soda chupa imepauka utakuta imetumika kwa watu 20 na imetembea nchi nzima chupa hiyo hiyo

Kama unabisha andika namba yako ya simu kama hujapigiwa kutoka simiyu na wewe uko Dar [emoji1] [emoji1787] [emoji23] joking

Ila wanaiaibisha kampuni kubwa namna hiyo kwa kuzungusha chupa zilizochakaa mpaka maandishi yamefutika

Hivi hawana wakaguzi wa nje?
Hapo ilikuwa upeleke ukadai fidia kiwandani kabisa au kuwatumia email na picha zote wahusika
Watu hapo juu wanasema ningepewa fidia kabla ya kufungua chupa, tatizo nimekuja kugundua wakati nimefungua
 
Watu hapo juu wanasema ningepewa fidia kabla ya kufungua chupa, tatizo nimekuja kugundua wakati nimefungua
Ni kweli ila hata ungepeleka hivyo hivyo
Kuna mama mmoja hapa uk alinunua baked beans tena kampuni ya hadhi kubwa sana Heinz, ndani alikuta panya kafa

Unaona hapo alifungua kopo ndio kukuta panya ndani ilikuwa kesi na ilibidi makopo yote yaondolewe kwenye shelf zote
Mimi nilikiwepo wakati huu msala umetokea
Na hii nimeweka kwa ushahidi

Kampuni ilimpa fidia ila walisema hatuwezi kuamini kama ni panya mmoja tu kwa hiyo zote zitolewe sokoni nchi nzima kwa mda huo
Screenshot_20221231_185606_Google.jpg
 
Ni kweli ila hata ungepeleka hivyo hivyo
Kuna mama mmoja hapa uk alinunua baked beans tena kampuni ya hadhi kubwa sana Heinz, ndani alikuta panya kafa

Unaona hapo alifungua kopo ndio kukuta panya ndani ilikuwa kesi na ilibidi makopo yote yaondolewe kwenye shelf zote
Mimi nilikiwepo wakati huu msala umetokea
Na hii nimeweka kwa ushahidi

Kampuni ilimpa fidia ila walisema hatuwezi kuamini kama ni panya mmoja tu kwa hiyo zote zitolewe sokoni nchi nzima kwa mda huo View attachment 2464816
Nitaenda kesho depot nione watasemaje Mkuu, japo najua kwa hapa Africa zitakuwa fix nyingi tu
 
Back
Top Bottom