Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
2f64e78dcbb7fa9e0aeb4f37f5b8a175.jpg
 
Kwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
Kwan kantanka umelitafuta wap??
 
Viongozi wetu wanadhani Tanzania itaisha wamesahau kuwa wao ndio wanapita Tanzania itabaki wanashughurika na matumbo yao kuweka ziada nje mawazo ya maendeleo hakuna hongera kenya
 
limetengenezwa na waafrika tena ma-shithole haswaa??aaahh siwezi kupanda hata nishikiwe gobole...linaitwaje vile MOBIUS....
 
Back
Top Bottom