Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kantanka umelitafuta wap??Kwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
Japan wanalima chakula gani kweli!?Kwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
Sisi tunapiga risasi wapinzani ndiyo viwanda vyetu
Kwani hammer imekaaje!?Mbona linekaa kama box?
Gari inatembea muonekano wa nje haujalishi tuwapongeze tuache roho za korosho wapo mbali sana kwa kila kituMbona linekaa kama box?
Wapo mbali sana kwa kitu kipi na kipi? au ndo ushabiki maandazi huu..Gari inatembea muonekano wa nje haujalishi tuwapongeze tuache roho za korosho wapo mbali sana kwa kila kitu
Vema mkuu wana barabara ya njia sita wana treni yamwendo kasi mombasa Nairobi wana fly over wana demokrasi ya siasa uhuru wa mahakama bado huoni kuwa wametuacha angalia hata fedha yao kwa dorali penye ukweli uongo hujitenga mkuuWapo mbali sana kwa kitu kipi na kipi? au ndo ushabiki maandazi huu..