Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka likae kama bakuli?Mbona linekaa kama box?
Endelea kutembea kwa Tumbo na bi nyau, ili upate kuuliza maswali yako kila siku.Wapo mbali sana kwa kitu kipi na kipi? au ndo ushabiki maandazi huu..
Kwa hiyo ulivyotaja hapo ndo tayari wametuzidi kwa kila kitu?Vema mkuu wana barabara ya njia sita wana treni yamwendo kasi mombasa Nairobi wana fly over wana demokrasi ya siasa uhuru wa mahakama bado huoni kuwa wametuacha angalia hata fedha yao kwa dorali penye ukweli uongo hujitenga mkuu
Wewe Mmawia vipi? Hivi hujui kuwa Kenya uchumi wake ni wa kati wa viwanda tangia miaka zaidi ya 10 iliyopita? Sasa kwa nini unataka kutulinganisha na wakenya?
Nyang'au umeshakuja, siyo? hakuna gari hapo ni mavyuma tu mmeunga ungaEndelea kutembea kwa Tumbo na bi nyau, ili upate kuuliza maswali yako kila siku.
Mkuu embu taja unavyoona tumewazidiKwa hiyo ulivyotaja hapo ndo tayari wametuzidi kwa kila kitu?
Elimu ya nani ipo chini, ukitumwa gari utaleta hiyo skrepa..Mkuu taja tulivyonavyo sisi vifaavyo kulinganisha na Kenya elimu yao iko juu wanaunda gari sisi kipi cha kujivunia taja
Naona na nyie mliunga unga mpaka ikapatikana ile "fonti fodi" ya magogoni.Nyang'au umeshakuja, siyo? hakuna gari hapo ni mavyuma tu mmeunga unga
Wao bidhaa za Tanzania hawanunui ni wabaguzi kama nini mfano tu makaa ya mawe wananunua South Africa wanasema yakwetu hayana uboraKwanini yasikanyage Tanzania? Nalisubiri kwa hamu kwa taarifa yako.
Huu ndo ulimbukeni wenu manyang'au kupenda kujilinganisha na Tanzania, mnawashwa washwa siyo?Mkuu embu taja unavyoona tumewazidi
Naona umeishiwa hoja unakimbilia matusiHuu ndo ulimbukeni wenu manyang'au kupenda kujilinganisha na Tanzania, mnawashwa washwa siyo?
Mzee Baba ulitaka liiikae kama tako?Mbona linekaa kama box?
Elimu ya nani ipo chini, ukitumwa gari utaleta hiyo skrepa..
Gari mpya haihitaji spea mkataba 5 years ndipo uhitaji spea taja vitu kama nyumbu car kununua wapinzani kupiga marufuku mikutano ya siasa watu kushambuliwa kwa siraha za moto nasi tunavyo vya kulingiaElimu ya nani ipo chini, ukitumwa gari utaleta hiyo skrepa..
Ahahahaha ni box mkuu sio kamaMbona linekaa kama box?
Nasikia huko kenya mtu akimiliki smart phone anajiona ameula, vipi njaa bado inawasumbua tuwaletee mahindi![]()
Najua ungeishia kurusha "vipumulio" kama ndugu zako hao. Maana miaka zaidi ya 50 ndio kilichojitahidi kutengeneza.