Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Kiwanda cha kutengeneza magari nchini Kenya,chatengeneza gari la MOBIUS,

Japan wanalima chakula gani kweli!?
Japan wanalima mpunga. Unamaanisha nin kuuliza hilo swali? Point nilotaka kuweka ni kua haina haja kukimbilia mateknolojia ya starehe kama magari kwa Kenya wakati watu wanakufa kwa njaa. Wangegundua jembe la kuendeshwa labda kwa nguvu ya jua hapo ningewasifu zaidi.
 
Japan wanalima mpunga. Unamaanisha nin kuuliza hilo swali? Point nilotaka kuweka ni kua haina haja kukimbilia mateknolojia ya starehe kama magari kwa Kenya wakati watu wanakufa kwa njaa. Wangegundua jembe la kuendeshwa labda kwa nguvu ya jua hapo ningewasifu zaidi.
Kaliaga hayo, wenzio katika dunia ya leo wanatengeneza kitu kinacho uzika sokoni kuliko hayo mawazo yako ya kimasikini. Kama vipi, unaonaje hilo wazo ukilifanyia wewe kazi badala ya hao wenzio Wakenya walio amua kutengeneza gari!? Maandishi yako yamesukumwa na WIVU tu na sio kitu kingine.
Well, Japan ni miongoni mwa nchi tajiri sana duniani but still nao wanaagiza sehemu kubwa ya chakula chao nje ya nchi. Halafu pia haipo nchi duniani iliwahi kutajirika to the maximum kwa kutegemea kilimo
 
Mbona magari tz ilishatengeneza toka zamani yanaitwa nyumbu sio hawa nyumbu[emoji111]
 
2f64e78dcbb7fa9e0aeb4f37f5b8a175.jpg
Sisi tunayo zaidi ya miaka 20 tunatengeneza magari yetu yanayoitwa Nyumba hapo kibaha.
Wema walichokifanya Kenya ni kuliweka Sokoni tu
 
Wewe Mmawia vipi? Hivi hujui kuwa Kenya uchumi wake ni wa kati wa viwanda tangia miaka zaidi ya 10 iliyopita? Sasa kwa nini unataka kutulinganisha na wakenya?

Dhamira (Vision) yetu ni kuwa na sisi tuweze kuwa na uchumi wa kati wa viwanda ifikapo 2025. Vision hii itaweza kufikiwa si kwa kuwaonea wivu wakenya au wachina bali kwa kufanya kazi na kuacha porojo za siasa. Hapa Kazi tu ndiyo itatufikisha huko. Wakenya walishatutangulia kufika huko, hivyo hata na sisi tutakapofika huko wao watakuwa wameenda mbele zaidi unless porojo za siasa ziwe zimewarudisha nyuma!

Sijui shida iko wapi hapa kwetu, sisi tuna utulivu wa kisiasa kuliko wao, tumeongozwa na chama kimoja muda wote, wao kila siku vyama tofauti lakini wanazidi kupaa. Sasa hivi mambo mengi ya msingi wako juu yetu. Kwenye uchumi wako mbali, kielimu pia, kidemokrasia ndio usiseme, hata kimichezo wanatufunika sana.
 
Hao jamaa mimi kinachonishangaza hata kama nchi inakumbwa na misukosuko wa wanasongesha tu nyaja ya kiuchumi na maendeleo,majuzi tu wametoka kutengeneza settelite, na mwaka 2015 kama sikosei walitengeneza lap top yao,inaitwa TAIFA,kiukweli sisi wazembe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii ndiyo Tanzania mpya. Watu wasiojulikana wamshambulia lissu kwa kumrushia risasi 38. Roma na wenzake watekwa na watu wasiojulikana. Sugu akamatwa kwa uchochezi. Halima Mdee na Esther Bulaya wafukuzwa Bungeni hawarusiwi kuingi Bungeni tena mpaka mwisho wa bunge hili 2020. Wabunge na Madiwani wajiuzulu kumuunga mkono nanihii. Uchaguzi mpya kuziba nafasi za Ubunge na Madiwani walizoziacha wazi kugharimu shilingi bilioni 15 na hao hao waliojiuzulu Ubunge na Udiwani kugombea tena nafasi hivyo kupitia chama twawala. NCHI INANYOOSHWA!!!!

MASIKINI NCHI YETU! Tulimkosea nini mpaka tuwe na watu wa hovyo hovyo kiasi hiki.

Breaking news!!! polepole aubomoa upinzani kilimanjaro
 
Kipaumbele chetu ni kuiua kabisa Chadema kabla ya 2020 hata ikibidi kukomba hazina yote Chadema kufa lazima ife haya ndiyo maono ya nabii Tito.
 
Kipaumbele chetu ni kuiua kabisa Chadema kabla ya 2020 hata ikibidi kukomba hazina yote Chadema kufa lazima ife haya ndiyo maono ya nabii Tito.
Wanajidanganya kwa maana wana nunua miili tu lkn akili bado ipo upinzani
 
Kwani Kantanka la Ghana stori zake ziliishia wapi. Nchi hata kujitosheleza kwa chakula na mahitaji mengine bado lakini inakimbilia kutengeneza gari. Ajabu hii.
Hayo ndiyo mawazo mfu
 
Back
Top Bottom