Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ulinzi utapata tu huwezi kosa vijana wa kukulinda tajiri.We Jamaa uta kuja ufanye nikose hata ulinzi😄🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulinzi utapata tu huwezi kosa vijana wa kukulinda tajiri.We Jamaa uta kuja ufanye nikose hata ulinzi😄🤒
Oya we nusu albinoo kuwa Basi, mi natafuta hata kibarua Cha ulinzi.Ulinzi utapata tu huwezi kosa vijana wa kukulinda tajiri.
Weka mawasiliano tukupe kaziOya we nusu albinoo kuwa Basi, mi natafuta hata kibarua Cha ulinzi.
👉We una niletea uwaki
Nashindwa kutoa maoni Concrete as Kuna taarifa za msingi zinakosekana kwenye andiko lako.Mzee Grahams uli ahidi kunipa info🤒🤒
Nita ku pm Kaka🤒Weka mawasiliano tukupe kazi
Sawa tajiriNita ku pm Kaka🤒
2025 mwishoni tuta ongea mkuu🙏💪, Kuhusu billionaire ajaye😄- I mean no malice to nobodyNashindwa kutoa maoni Concrete as Kuna taarifa za msingi zinakosekana kwenye andiko lako.
Ila unapotaka kufanya biashara ambayo tayari ipo (already existing business) unatakiwa kuangalia weakness za washindani wako Kwa kuangalia wapi wamekosea upande wa quality/quantity/market/brandings n.k
Hujasema unataka kufanya at which horizons i.e small scale/medium/large
Kwa kutumia uzoefu naweza kushauri kuhusu biashara ya Maji ambayo haihitaji gharama kubwa za Uendeshaji (O&M) zaidi ya gharama za madawa kwaajili ya kutibu as Maji yanapatikana kiurahisi ambapo unaweza kuyanunua kwenye Mamlaka za Maji iwe DAWASA/MWAUWASA/MORUWASA n.k
Ili ku-penetrate Soko hakikisha unakuwa na packaging nzuri na Maji yawe mazuri. Mikoa ya Mbeya/Iringa/Morogoro/Mwanza/Ruvuma Wana Maji matamu sana
Kama upo serious na biashara moja wapo ya hizo mbili niajiri nikufanyie tathmini ya kina na kuja chaguo sahihi.
Maana factors za kufikia kwenye Chaguo sahihi zipo nyingi ambapo upembuzi wa kina unahitaji.
Kila la heri Bilionea ujaye wa Kitanzania 🙏💪👊
Kwa style hii huko pm nita kuja??Sawa tajiri
Bado Sana mkuu, tutaona - as long and iko Hali futiki.Ulifanikiwa niajiri kama chemist mzee
Wana tabu kinoma😅😅Watu wa osha ehh??, Kuna jamaa nili mkuta mwanza ana tengeneza za kipande.
👉Yupe Jamaa kakosa branding tu, kingine ni mbishi mnoo- akiuza Mitaa 5 anasema Ina tosha😄
Uje vip na kumefungwa?Kwa style hii huko pm nita kuja??
Sasa hayo mawasiliano niya weke mbinguni🤒Uje vip na kumefungwa?
Kuna Jamaa ana kiwanda Cha unga wa sembe, Nina ki deal naye.Wana tabu kinoma😅😅
utaweka hapa kama uwezi basiSasa hayo mawasiliano niya weke mbinguni🤒
Kaa na huo ushauri tu mkuu, I mean no malice to nobodyNingekupa ushauri bora kabisa ila tatizo lake unaleta dhihaka mno kwenye uzi wako