Habarini za kutwa
Kuna kiwanda tajwa hapo juu kilikuwepo maeneo ya Kimara, naomba kufahamu kama bado kipo na kama kipo kipo maeneo gani yaani Kimara ipi na kama kuna yeyote ana mawasiliano na mfanyakazi yeyote kwenye kiwanda hicho naomba aniunganishe nae tafadhali.
Kuna kiwanda tajwa hapo juu kilikuwepo maeneo ya Kimara, naomba kufahamu kama bado kipo na kama kipo kipo maeneo gani yaani Kimara ipi na kama kuna yeyote ana mawasiliano na mfanyakazi yeyote kwenye kiwanda hicho naomba aniunganishe nae tafadhali.