mzawa098
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 253
- 210
Napenda nachokisoma kwenye huu uzi watu bila choyo wanatupa technique za maisha safi sana huu ndio undugu wa Afrika tunatakiwa kuwa nao tutafika mbali sana tukishirikiana hivi hivi bega kwa bega Kesho ni ya kwetu najua kuna wajinga wachache wanajaribu kuharibu uzi siwalaumu maana bado hawajayajua maisha [emoji1490][emoji1490] Jamii Forums idumu "Too much sauce" in here.