mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
- Thread starter
-
- #101
barikiwa mkuuHakuna ugumu wowote. Kwa kuanzia tbs utaiomba kupitia sido ni mchakato rahisi sana na kulipa fee kidogo sana. Tfda hawana complication unafuata tu masharti yao na kulipa gharama kidogo.
Wengi wanaogopa bila kujaribu
mkuu vipi, mafuta ya nazi natural kwa ajili ya watoto wadogo, naona wengi wanashauriwa kutumia mafuta haya.baishara ya ku-process na ku-tui au unga wa nazi naona kama itakua ngumu sana. Bakhressa analeta toka Indonesia ila zimekua branded, hata american gardens pia. Bei ya nazi ipo juu, umeme sio rafiki na hata vifungashio ni ghali. Ukiwa mzalishaji mdogo itakusumbua sana kushindana kwenye bei.
Siku hizi mjini watu wanatumia sana tomato paste na nyingi inatoka china au uarabuni. Naona kama nyanya ni nyingi na bei iko chini kama ukiweza kufanya uchunguzi wa kibiashara hii inaweza kukutoa. Kuna kampuni 1 tu ya kitanzania ambayo ikoa arusha ambayo inajihusisha na utengenezaji wa tomato paste.
Kweli mkuu watu wanafikiria labda hicho kiwanda utakiweka kwenye chumba ulicho pangakweli, mil 4 hapo hata location ya kuweka kununua/kukodi haipo.
nadhani wazo ni sahihi lkn liko nje ya estimation ya budget
Ni vizuri ukasaga na kupaki mwenyewe. Na hata utakavyokuwa ukifanya hivyo haikuzuii kutoa huduma kwa wananchi endapo watahitaji. Hiyo utakuwa ni added advantage kwako.wazo la pili mkuu nadhani ni gharama zaidi ya hiyo budget.
wazo la kwanza ni feasible, ila sijaelewa kama nakuwa nasaga kuuza mwenyewe au kusagisha watu maana kuna kona moja jamaa ameweka hiyo huwa namuona anasagisha za wananchi, au umemaanisha vyote. hilo ni zuri pamoja na yote ingawa akili ya kutafuta soko inahitajika maana hizo peanut butters naziona nyingi sana madukani japo sio sababu ya kushindwa..
asante mkuu.
Lete details Zaid mkuu
Nunua vyerehani nane alafu muite magufuli aje kufungua kiwanda cha kubadili katani na pamba kuwa nguo.
mchanganuo na gharama,
weka uzoefu kidogo...
Kiwanda cha toothpick kiukwelhaitaweza kwa baget hyo kiongoz,nilimsikia mwijage pale bungen alisema watanzania wanashindwa kuanzisha hata kiwanda cha toothpick wakat mtaji wake kila kitu ni usd 28000,so ukiibadili kwa hela za madafu unapata karib milion 60,na mtu ambae tanzania alikua anataka kufungua kiwanda hiki ni Muheshimiwa Lema mbunge wa Arusha,sijajua zaid mchakato wake uliishia wap,bt kwa kiwanda cha toothpik usikiwekee ktk hesab hiz.hadi sasa...
1:Kutengeneza Mafuta ya nazi ya kujipaka...
2:nazi ya kusaga (hii haijawekwa vzr inaonekana practical na theory zake zinakinzana kwa mujibu wa maelezo ya wadau).
3😛eanut butter production
4:toothpick (hakuna mchanganuo au ufafanuzi)
5:Mashine za kusaga nafaka ndogondogo (portable machines).
6:Kuprocess maziwa ya mbuzi ...
...
naamini wadau tunaweza kuendelea kuchakata mawazo zaidi...
maana hadi sasa kiwanda chini ya 4M kinawezekana...
Tafiti za masoko ndio changamoto....
changamoto hii nimekutana nayo huko duniani.
1:Nyanya za kupack zinanunuliwa sana lakini baada ya kuzikagua nimegundua ni made in uarabuni.
2:Nazi ya maji inanunuliwa kuliko ya unga.
naendelea kunyenyekea kwa points zenu wakuu...
Mwisho wa siku niibuke na home Industry mwenyekiti wa mtaa apate fahari ya kujivunia maendeleo mtaani kwake....
Kiwanda cha toothpick kiukwelhaitaweza kwa baget hyo kiongoz,nilimsikia mwijage pale bungen alisema watanzania wanashindwa kuanzisha hata kiwanda cha toothpick wakat mtaji wake kila kitu ni usd 28000,so ukiibadili kwa hela za madafu unapata karib milion 60,na mtu ambae tanzania alikua anataka kufungua kiwanda hiki ni Muheshimiwa Lema mbunge wa Arusha,sijajua zaid mchakato wake uliishia wap,bt kwa kiwanda cha toothpik usikiwekee ktk hesab hiz.
hiyo mpake ifuke hapa 60 m imekutoka
mkuu hii ailibaba inauzwa $800,
hapa
Complete Production Line Bamboo Toothpick Making Machine Price - Buy Machine To Make Toothpicks,Automatic Bamboo Toothpick Making Machine,Bamboo Toothpick Making Machine Product on Alibaba.com
hii inatengeneza toothpicks kutoka kwenye miazi.
price $500 -5500
mkuu inaonekana waziri yuko sahihi, ni suala la kutafuta taarifa tu ndio shida.
Natamani atokee mtalaam wa manunuzi ya hivi vitu aje atolee ufafanuzi kama hizo price ni halisi.
...dadeki....nimenyoosha mikono na kuiweka kapuni kama ni kweli.hiyo mpake ifuke hapa 60 m imekutoka
Sio yeye tu, hata mimi nilitaka na bado nataka sana tu. I hope my dream will one day come true. Nilishaandaa maandiko toka 2014, tatizo noti.Kiwanda cha toothpick kiukwelhaitaweza kwa baget hyo kiongoz,nilimsikia mwijage pale bungen alisema watanzania wanashindwa kuanzisha hata kiwanda cha toothpick wakat mtaji wake kila kitu ni usd 28000,so ukiibadili kwa hela za madafu unapata karib milion 60,na mtu ambae tanzania alikua anataka kufungua kiwanda hiki ni Muheshimiwa Lema mbunge wa Arusha,sijajua zaid mchakato wake uliishia wap,bt kwa kiwanda cha toothpik usikiwekee ktk hesab hiz.
WordKwa wadogo zetu mnaokua na watu wazima ambao bado akili zinakua tungependa kuwaarifu kuwa sisi tunajua kuandika utani na pumba zaidi yenu lakini tufahamu tuandike wapi na wakati gani, kuna majukwaa mengi ya utani lakini when it comes to business kuweni na adabu tafadhali
Kila la kheri mkuu.Nitaanza hata kwa kuanza kununua mashine moja moja mpk nikamilishe complete set, ili tu ndoto itimie. Dream MUST come true. Mungu anisaidie..!!!
Japo mihayo ni mitale na midimu, (hahahaha) ila nia ikiwepo, mambo yatawezekana tu.Kila la kheri mkuu.
Anzisha kiwanda cha kutengeneza unga wa nazi.unakausha zile nazi halafu unazisaga.halafu unazitia kwenye paketi.hakikisha paketi haiingizi hewa ndani ili huo unga usiharibike.hapo utatafuta kampuni ikutengenezee hizo paketi.halafu uzipige nembo yako. Kuna watu wengi hawana mda wa kukuna nazi hivo utapata wateja wengi tuu hata nje ya tz utauza.na machine unayohitaji kwa kuanzia ni moja tu ya kusaga.
Anzisha kiwanda cha kutengeneza unga wa nazi.unakausha zile nazi halafu unazisaga.halafu unazitia kwenye paketi.hakikisha paketi haiingizi hewa ndani ili huo unga usiharibike.hapo utatafuta kampuni ikutengenezee hizo paketi.halafu uzipige nembo yako. Kuna watu wengi hawana mda wa kukuna nazi hivo utapata wateja wengi tuu hata nje ya tz utauza.na machine unayohitaji kwa kuanzia ni moja tu ya kusaga.
Kinapatikana wapKiwanda cha Toothpicks itapendeza zaidi