Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

Anzisha kiwanda cha kutengeneza unga wa nazi.unakausha zile nazi halafu unazisaga.halafu unazitia kwenye paketi.hakikisha paketi haiingizi hewa ndani ili huo unga usiharibike.hapo utatafuta kampuni ikutengenezee hizo paketi.halafu uzipige nembo yako. Kuna watu wengi hawana mda wa kukuna nazi hivo utapata wateja wengi tuu hata nje ya tz utauza.na machine unayohitaji kwa kuanzia ni moja tu ya kusaga.

Unaweza kuzisaga kwa mashine gani mkuu,

Pili, ukikausha ule unga tui litapatikana kweli ?
 
Unaweza kuzisaga kwa mashine gani mkuu,

Pili, ukikausha ule unga tui litapatikana kweli ?
Unaweza kusaga kwa kutumia food grinder au waambie sido watakupa machine ndogo hivi itakufaa au nunua machine yoyote ya kusaga ambayo ni ndogo.si lazima usage unga uwe laini sana. Tui utapata kwa kuongeza maji moto kwenye huo unga halaf unakamua.
 
Unaweza kusaga kwa kutumia food grinder au waambie sido watakupa machine ndogo hivi itakufaa au nunua machine yoyote ya kusaga ambayo ni ndogo.si lazima usage unga uwe laini sana. Tui utapata kwa kuongeza maji moto kwenye huo unga halaf unakamua.

Hii imetulia, ishi ni izo malighafi kuhakikisha zinapatikana
 
Hii imetulia, ishi ni izo malighafi kuhakikisha zinapatikana

Hio food grinder hata milion haifik.paket hata milion hutatumia.naz zipo.sasa sijui maighaf gani unaongelea.ujue mleta mada alisema kuanza kwa bajeti ya milion nne.hata ukinunua mashine ndogo ya kusaga haitacost milion nne
 

Najisemea tu ishu ni kuhakikisha upatikanaji wa izo nazi kwa wingi,
Wazo limenifaidisha na mimi pia sio mtoa mada pekee mkuu BOOS
 
Hakuna ugumu wowote. Kwa kuanzia tbs utaiomba kupitia sido ni mchakato rahisi sana na kulipa fee kidogo sana. Tfda hawana complication unafuata tu masharti yao na kulipa gharama kidogo.

Wengi wanaogopa bila kujaribu
Asante sana. Umenipa mwanga . Nitafuatilia na nikipiga hatua nitakujulisha.
 
Wadau bado tunaendelea kufuatilia kwa karibu, tunaomba muendelee na ushauri wenu bado tunawasikiliza.
 
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.

Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.

Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.

Msaada please.
Mkuu tutafutane mwenyew nna kiwango Kama chako npo dar magomeni labda tunaeza Fanya kitu Kama tuna lengo moja
 
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.

Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.

Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.

Msaada please.
nunua cherehani nne itapendeza zaidi
 
Tengeneza machinjio yako ndogo ya kisasa ya kuweza kuchinja ng'ombe watano tu kwa siku baada ya hapo utaendelea kupanua kiwanda chako
Hicho kitakuwa Kiwanda au machinjio?!

Kiwanda:
Production
Processing
Packaging
Bottling

Atafanya kipi kati ya hivyo?
 
Tengeneza juis kwa kusindika mkongoraa,na changanya na vumbi la Kongo,andaa good packaging kama juice za Apolina then ingiza mjini,walah kesho TBC watakuomba interview.
Itafaa sasa kwa watoto wa daslam
 
Nauza mashine 3 ya kiwanda cha alizeti.
1. Mashine ya kupepeta alizeti.
2. Mashine ya kukamua alizeti.
3. Mashine ya kuchuja mafuta ya alizeti.
Na vifungashio pamoja na labels. Brand niliyonayo ina TFDA.
Vyote kwa 9.5M
View attachment 631653 View attachment 631654
Mkuu, ningependa kufahamu zaidi maana this seems to be very promising. Maswali yangu:
Mosi, hivi vifaa viko wapi?
Pili, capacity yake.
Tatu, kati ya viwanda vitatu ulivyonavyo kwa nini umechagua kuachana na hiki?

Thanks in advance kwa majibu yako.
 
Fungua kiwanda cha kitimoto maeneo ya feri magogoni kaanga vizuri nyama za kitimoto kisha zifanyie package vizuri kisha uwe unauza makanisa jirani Azania Front +st. Joseph, St Albans, Greek orthodox etc 7 days a wk kuanzia morning glory mpaka ibada za ndoa/misiba na ibada kuu j2
 
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa.

Kiwanda chochote cha kuongeza thamani bidhaa za shamba au asili.

Naamini hakuna ambacho kimewahi shindikana humu.

Msaada please.
Ni wazo zuri, jaribu kuwekeza kwenye Mini grids I mean off-grids electricity hasa katk maeneo ambayo mpango wa usambazaji wa umeme vjjn hayajafikiwa, unaweza ukara hela.
 
Back
Top Bottom