Kiwanda kikubwa cha Furniture East Africa kujengwa Tanzania

Kiwanda kikubwa cha Furniture East Africa kujengwa Tanzania

Enda tafuta maana ya franchise. Danube Group iko na diverse divisions from contruction,hardware to furniture and soft furnishings kama hiyo ya Dar. Pongezi kwenu,muunde bidhaa nzuri tutakujia 😀
Sio mnakujua bali zitaletwa na wao hizo furniture na mtanunua. More than 500 40ft containers to be exported per month na bado watejenga viwanda vingine vya hardware once they are done with this
 
Teh teh teh kiwanda cha misumeno..
Vya cherahani na misumeno ndio vinafanya tuwavalishe
Screenshot_20180302-171549.png
Screenshot_20180302-171538.png
 
Point of correction, kiwanda ni cha GSM Africa a local company. Ni sawa wewe uwe na kiwanda chako cha pen then bic waka ingia makubaliano na wewe uwatengenezee pen zao.
Ndiyo hiyo inaitwa Franchise dunder head.
 
Fursa hii ngoja nikaombe kazi ya kufuta futa vumbi kwenye hii furniture... [emoji23] [emoji13] [emoji119]
 
Ndiyo hiyo inaitwa Franchise dunder head.
Najua what franchise mean.. ila yule boya mwenzako made it sound kama deal ya kupigwa kama mliyo sign na mchina. Ambayo ime wafanya mkalie kidole cha mchina for 10 good years. By 2027 uko kutakua na Kenyans with Chinies origin mob [emoji13]
 
Najua what franchise mean.. ila yule boya mwenzako made it sound kama deal ya kupigwa kama mliyo sign na mchina. Ambayo ime wafanya mkalie kidole cha mchina for 10 good years. By 2027 uko kutakua na Kenyans with Chinies origin mob [emoji13]
Sasa nyie mtakuwa na Watanzania with A Turkish origin?
 
GSM + Bashite
Kwa furniture sidhani uzalishaji wa ndani na kutegemea soko la nje utakuwa na tija kwa mzalishaji.
Danube ni duka la vitu rahisi....suppliers wake wana supply vitu kw bei ya chini sababu wateja walengwa ni kipato cha kati.
Inawezekana kidogo kama hiki kiwanda kikajengwa ndani ya free zone areas ambako ushuru wa raw material ni zero.
Lakini upatikanaji wa mbao, na vifaa vingine tu gharama ni gali, umeme ghali, logistic kibao zinaongeza gharama...jee kweli wataweza kushindana na bidhaa za china zina zouzwa na danube ?
Inawezekana kama kutakua na previlege maalum kwa GSM ..umeme bure, ma ushuzu zero mpka wa export.
Ni pressure tu hizi za viwanda
 
Sasa nyie mtakuwa na Watanzania with A Turkish origin?
Kaangalie uone idadi ya waturuki walio kuja Bongo linganisha na hao wachina uko. More than 40% ya wafanyakazi ni wao. Bado wakimaliza watabaki miaka 10 wakiwamanga tu
 
Kaangalie uone idadi ya waturuki walio kuja Bongo linganisha na hao wachina uko. More than 40% ya wafanyakazi ni wao. Bado wakimaliza watabaki miaka 10 wakiwamanga tu
You getting those statistics outa your arse?
 
GSM + Bashite
Kwa furniture sidhani uzalishaji wa ndani na kutegemea soko la nje utakuwa na tija kwa mzalishaji.
Danube ni duka la vitu rahisi....suppliers wake wana supply vitu kw bei ya chini sababu wateja walengwa ni kipato cha kati.
Inawezekana kidogo kama hiki kiwanda kikajengwa ndani ya free zone areas ambako ushuru wa raw material ni zero.
Lakini upatikanaji wa mbao, na vifaa vingine tu gharama ni gali, umeme ghali, logistic kibao zinaongeza gharama...jee kweli wataweza kushindana na bidhaa za china zina zouzwa na danube ?
Inawezekana kama kutakua na previlege maalum kwa GSM ..umeme bure, ma ushuzu zero mpka wa export.
Ni pressure tu hizi za viwanda
Kama wana lengo la ku export 80% wata fit kupewa exemption ya baadhi ya kodi. Kuna hawa wanatengeneza furniture mtaani wame jaa kibao, na wanatumia umeme huo huo unao usema ww na materials hizo hizo na bado wana toboa. Mimi nazani kwa kua wata enjoy economies of scale wanaeza waka toboa zaidi
 
Tuhamasishe viwanda vijengwe lkn tuchukue tahadhari , tuwe makini na maeneo ya ujenzi wa viwanda,
Msukumo mkubwa uwe pwani kabla ya maeneo mengine. Mkoa wa pwani umesha pangwa vizuri kwa ujenzi wa viwanda hivyo ni vyema wawekezaji waelekezwe huko kwanza.
 
Naona vijana wa Nairobi wanachungulia na kukimbia. Wanakodoa kodoa macho. Hawaamini wakionacho.

Uchafu mtupu! Bongo ni taifa la wajinga kamwe haliwezi endelea
 
sina MB za kutosha kuweza kucheza hiyo clip. Ni vyema ukanisaidia kujua kama hutojali, nimesikia kimeanza kujengwa, je kitamalizika lini, kitakuwa na uwezo wa kuajiri watu wangapi? Ukinisadia kwa hili utakuwa umenitendea haki boss.
Waambie ufipa wakusaidie MB haiwezekani mtetezi wao mkuu ukadhalilika namna hii
 
Waambie ufipa wakusaidie MB haiwezekani mtetezi wao mkuu ukadhalilika namna hii

Hawajawahi kunisaidia kwani mimi sio mtu wa kutegemea msaada, na hata ninapowatetea naangalia kipi natetea ndio maana niko huru katika utetezi wangu. Hivyo sihitaji msaada kwao maana mimi sio mwanachama wa chama chao bali shabiki wa kutupwa wa chama hicho.
 
Hata break even hawatafikia. Wata shut down mapemaaaa. Hii Ndiyo nchi ya TRA ameshindwa dangote mtaweza ninyi?
 
Back
Top Bottom