Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,348
- 3,038
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda , lakini eti barakoa wanatengeneza !
Katika ulimwengu wa roho na mambo ya kufikirika kipoTangu lini muhimbili ikawa na kiwanda.
Kwani tuhangaike wakati aliyeleta tangazo hapa anazotaarifa zote,naomba atusaidie taarifa hizo.Kuna namba za simu hapo, wapigie then uliza maswali yako.
Unajua process za kupata pamba?Cha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda , lakini eti barakoa wanatengeneza !
unayafahamu matumizi ya pamba na eusol kwenye hospitali za umma ?Kanuni ya demand and supply inahusika!
Inashinda process ya kujenga fly over nchi nzima ?Unajua process za kupata pamba?
Ni kweli kabisa , lakini unakijua kilipo ?lkini ni hatua nzuri km wamefika huko soon tutaanza kutengeneza vifaa vingine
Na viwanda vya pamba ni vingi!unayafahamu matumizi ya pamba na eusol kwenye hospitali za umma ?
Kiwanda kipo wapi na kimeanza lini hiyo kazi?Muhimbili wanatengeneza barakoa kwenye kiwanda chao.
Swali lingine!
Nimepiga lakini haipokelewi , sijui muda wa kazi umeisha ?Kuna namba za simu hapo, wapigie then uliza maswali yako.
Kipo Muhimbili siku nyingi tu na huwa kinatumika kushona sare za wafanyakazi!Kiwanda kipo wapi na kimeanza lini hiyo kazi?
Pamba hii hii inayolimwa hapa hapa au ipi hiyo,na kama process ni ngumu ile Tanzania ya Viwanda ina faida gani kwa Nchi?Unajua process za kupata pamba?
hakuna anaejua! siunajua hii ni vita ya uchumi mkuuNi kweli kabisa , lakini unakijua kilipo ?
Madhara ya kutumia makalio kufikiriPamba hii hii inayolimwa hapa hapa au ipi hiyo,na kama process ni ngumu ile Tanzania ya Viwanda ina faida gani kwa Nchi?
Navyojua,mbegu bora zipandwe ,halafu ivunwe,ichambuliwe kiwandani,na iwezekutengenezwa vitu,mbalimbali.Ziada ni juze mtaalamu.Unajua process za kupata pamba?
Nafikiri bado hujaelewa maana ya wewe kuwepo kwenye jf kama GTKuna namba za simu hapo, wapigie then uliza maswali yako.
Nchi hii kwa sasa ni kuchangamkia fursaFursa,ikute Bupiji kakamata fursa na huko kwenye mask.
Hicho kiwanda kinaitwaje na kiko wapi?Muhimbili wanatengeneza barakoa kwenye kiwanda chao.
Swali lingine!