Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Siuzi bagia ila nazipenda sana ! huwa nanunua kwa mama Ashura anapikia pale mwembe yanga chini ya Transfoma la Tanesco , hizo bagia kwa utamu usipime !Wewe muuza bajia Tandika mwembe yanga unajua?
Kenge ni yule anaye kufanya ule na kulala bureHutaki we kenge?
Nenda wewe mgonjwa ukatibiwe changamoto ya kupumuaNenda muhimbili pale getini watakuelekeza kiwanda kilipo, ni rahisi tu!
Kufa kufaanaLakini huo ndio uzalendo wa kitanzania
Kwani wamekuambia wanauzia nchi nzima?Kushona barakoa za kuuza nchi nzima kwa zile cherehani za kushonea ma ovaroli ya usafi haiwezekani , tafuta uongo mwingine
Mwenyekiti wako hapo Ufipa anavaa gloves badala ya barakoa!Nenda wewe mgonjwa ukatibiwe changamoto ya kupumua
Usihamishe magoli!Mbona pamba za kuoshea vidonda wameshindwa kutengeneza wamebaki kununua india na Kenya?
Wewe unavaa zipiMwenyekiti wako hapo Ufipa anavaa gloves badala ya barakoa!
Haziwezi fikia utamu wa zile za Tukuyu....hizo bagia kwa utamu usipime !
sasa mjomba yale masweta ya Thailand unataka kufananisha na vibarakoa vya Muhimbili ?Kwani wamekuambia wanauzia nchi nzima?
Wewe yale masweta ya Chadema uliyauza nchi nzima?!!
Alisema Wazi Wazi Bwana Bure HayupoKwahiyo Muhimbili sio mtoa huduma tena ameingia kwenye biashara ya viwanda
Tukuyu labda ndizi za kuchomaHaziwezi fikia utamu wa zile za Tukuyu.
Have you been there recently?!Tukuyu labda ndizi za kuchoma
Mimi navaa barakoa niliyoshona mwenyewe!Wewe unavaa zipi
Smart move.Mimi navaa barakoa niliyoshona mwenyewe!
Hahahaaaa....... Halima Mdee alizigawa bure pale Ukwamani bodaboda wakawa wanazitumia kusafishia pikipiki!sasa mjomba yale masweta ya Thailand unataka kufananisha na vibarakoa vya Muhimbili ?
Ilithibitishwa na maabara ipi.Mimi navaa barakoa niliyoshona mwenyewe!