Kiwango cha chini kabisa (minimum amount) cha kuhonga hawara

Kiwango cha chini kabisa (minimum amount) cha kuhonga hawara

Hello jopo la MMU. Nimfanyeje huyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kitambulisho rejea: CI2xxxxxxxx Umepokea 7,650. Tshs kutoka CHxxxxxxx Salio jipya xxxxxxxTshs.. Airtel Money Branch karibu nawe kila kona ya Tanzania! Kukupatia huduma zote za Airtel, kutoa na kuweka Pesa kiwango unachohitaji!
Njoo pm
 
Hello jopo la MMU. Nimfanyeje huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kitambulisho rejea: CI2xxxxxxxx Umepokea 7,650. Tshs kutoka CHxxxxxxx Salio jipya xxxxxxxTshs.. Airtel Money Branch karibu nawe kila kona ya Tanzania! Kukupatia huduma zote za Airtel, kutoa na kuweka Pesa kiwango unachohitaji!
Hakuna aliyekutumia nauli ya bombadier?
Wenzio wanaomba nauli kwa watu zaidi ya mia.
7,650 × 100 ungepata laki saba.
 
Nimecheka sana, 7650!!!!
Sijui mimi nafeli wapi kuwa na huo ujasiri,
Takribani mwezi umepita nilikuwa na mdada mmoja aliniahidi kunipa game ila akaomba apate japo Serengeti rite kadhaa,,
Mwamba nikaona sio kesi tukajisogeza mahala zinakopatikana, Tumeanza nikiwa na safari lager 1,yeye ana Serengeti ya tatu, akaagiza chakula 9000,
Baada ya hapo alikunywa zaidi Serengeti rite 23,na bado halewi ila kachangamka tu, hiyo tumeaza saa nne asbuhi mpaka moja usiku,
Nikahisi mfuko umeyumba nikamwambia tukafanye yeti, akatii moja Kwa moja mpaka lodge nikapiga changu kimoja cha maana japo kwa masharti ya kutokugusa matiti, kwa vile ni ya mtoto!!!
Nikamuachia ten yake nikasepa huku nikijutia,,
Alafu baada ya siku moja kupita ananitafuta tena, na kuniita Baba,
Kenge sana R popote ulipo, nimepata somo ukiingia tu 7650 itakuhusu,,
NB. Acheni kutumia kwa kukomoa
 
Nimecheka sana, 7650!!!!
Sijui mimi nafeli wapi kuwa na huo ujasiri,
Takribani mwezi umepita nilikuwa na mdada mmoja aliniahidi kunipa game ila akaomba apate japo Serengeti rite kadhaa,,
Mwamba nikaona sio kesi tukajisogeza mahala zinakopatikana, Tumeanza nikiwa na safari lager 1,yeye ana Serengeti ya tatu, akaagiza chakula 9000,
Baada ya hapo alikunywa zaidi Serengeti rite 23,na bado halewi ila kachangamka tu, hiyo tumeaza saa nne asbuhi mpaka moja usiku,
Nikahisi mfuko umeyumba nikamwambia tukafanye yeti, akatii moja Kwa moja mpaka lodge nikapiga changu kimoja cha maana japo kwa masharti ya kutokugusa matiti, kwa vile ni ya mtoto!!!
Nikamuachia ten yake nikasepa huku nikijutia,,
Alafu baada ya siku moja kupita ananitafuta tena, na kuniita Baba,
Kenge sana R popote ulipo, nimepata somo ukiingia tu 7650 itakuhusu,,
NB. Acheni kutumia kwa kukomoa
Huku ukijutia????
 
Back
Top Bottom