Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Uliimega? [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna Pisi Moja Nilihihonga Parefu.
Ila Nikakimbia Mwenyewe Aisee
Huwa naiskia tyu story humu, kwan n kweli ilkua hivyo?Hii story siwez kuisahau... ila yule dada itakua ufupi ndo ulisababisha na kukomaa.
Samahani Mkuu tigo ndio Nini!?, Naomba kuelewa hapi.
Sasa umekuja kunisema huku?
.Hawara anahongwa maneno tu na si pesa
Kuna ujumbe anaufikisha kimtindo.Soma polepole.πππWewe ni hawarayake?
Hii story siwez kuisahau... ila yule dada itakua ufupi ndo ulisababisha na kukomaa.
Nimecheka sana, 7650!!!!
Sijui mimi nafeli wapi kuwa na huo ujasiri,
Takribani mwezi umepita nilikuwa na mdada mmoja aliniahidi kunipa game ila akaomba apate japo Serengeti rite kadhaa,,
Mwamba nikaona sio kesi tukajisogeza mahala zinakopatikana, Tumeanza nikiwa na safari lager 1,yeye ana Serengeti ya tatu, akaagiza chakula 9000,
Baada ya hapo alikunywa zaidi Serengeti rite 23,na bado halewi ila kachangamka tu, hiyo tumeaza saa nne asbuhi mpaka moja usiku,
Nikahisi mfuko umeyumba nikamwambia tukafanye yeti, akatii moja Kwa moja mpaka lodge nikapiga changu kimoja cha maana japo kwa masharti ya kutokugusa matiti, kwa vile ni ya mtoto!!!
Nikamuachia ten yake nikasepa huku nikijutia,,
Alafu baada ya siku moja kupita ananitafuta tena, na kuniita Baba,
Kenge sana R popote ulipo, nimepata somo ukiingia tu 7650 itakuhusu,,
NB. Acheni kutumia kwa kukomoa
Na kisimu chako cha buttons umefunga na rubberband ππππππ
.Wee nae mam, hiyo kakupa ya vocha. Hongo bado ipo njian inakuja. Kuwa mvumilivu tyuuuh.
Katakua kababu hako.Hadi miwani tena?Alijua katoa laki saba kumbe saba elfu?πππ.
Huyu anaonekana kamaliza mtu gani anatembea na daftari la mapato na matumizi tena anavyoandika na kusoma daftari lake anavaa miwani ya kusomea πππππππ
Got it πππππNi mtandao pendwa.
Live it, Love it!!
Ipi?Halafu na wewe kuna story tunakudai mrejesho.
Ipi?
Nashauri aitwe wachumba30Kuna ujumbe anaufikisha kimtindo.Soma polepole.πππ
Tigo ni Buza kwa Mpalange...Samahani Mkuu tigo ndio Nini!?, Naomba kuelewa hapi.
Basi hamia kwangu, mi nahonga mpaka ya kutoleaNimesahau πππππ