Kiwango cha chini kabisa (minimum amount) cha kuhonga hawara

mamaeeeee
 
Buza kwa mpalange!😳😳. Acha nisiendelee kuuliza Ila hili neno mpalange khaaa! Sijui Maanake nini
Kwani wewe ni msukuma?

Yaani namaanisha tundu la kutolea ushuzi na kinyesi...

Kama bado hujaelewa tena basi bhana....
 
Wenzio walishapewa hiyo tena baada ya kufunga safari ndefu kutoka Bukoba mpaka Dar kwa hela zao halafu wakaishia kuambulia 7,800 na mjurubeng wakatembezewa. Shukuru hata kama ni kidogo [emoji16][emoji16][emoji16]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nani huyo alitembezewa mjurubeng kwa buku Saba?!
Ila kuna watu makauzu sana
 
Amekupendelea mno😎
 
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndalilo please sio dua njema hii ujue , unatype vipi 7,650 kisha ndio umalizie na password then uthibitishe kweli kabisa yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…