Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Dahh!... yaan mwamba una mke ndani unaenda kulila mate pelo! Unalila mate dume lenzio... yaan ndevu kwa ndevu😔😔😔

Dahh! *****!... wife ka-revenge anaenda kuliwa kote na mbongo muvi😔
 
Hata kama una respect kubwa kiasi gani kwenye career yoyote maishani. Zikianza fununu za design hiyo juu yako aidha za kweli au sio za kweli lazima kuna mambo mengi yatapungua juu yako.


Na kwann uzushiwe wewe?!
 
Tusimbeze bana
Ukweli ni kwamba hana elimu kubwa sana ila elimu yake alijiongeza ukubwani na hizi short courses na awards zinatosha hizo. Ahsante
 
Bora kufa lofa kuliko dume zima kuchakatwa na madume menzio 😅🙌🏾
 
Mimi nina jamaa zangu wengi hawajasoma, lakinii leo hii wanapesa na wengine wameajiri wenye degree zao. Kwahiyo kusoma sio kutajirika bali kutoa ujinga na sio kustaarabika. Kuna wasomi lakini wengi wao ustaarabu ni ZERO.
Hatuzungumzii usomi hapa mzee unacheza faulo sasa... we mzee vipi?!


Utajiri una secret kubwa sana mzee baba. Wasifie tu ila walioyafanya wanajua wenyewe 😊👍🏾
 
Hata huyu mkewe alirudi kwao, ila alibembelezwaa atulie kulinda heshima ya mumeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dunia ina mengiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata huyu mkewe alirudi kwao, ila alibembelezwaa atulie kulinda heshima ya mumeweee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dunia ina mengiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila na yeye ndo akaamua kupigika nje kwa sana. Hawa vijana wetu WA hii entertainment industry sijui Wana Pepo gani. Yaani hiyo group ya Jux na Hao wenzake ukiona msela kajiunga hapo basi jua Hakuna kitu
 
Ila na yeye ndo akaamua kupigika nje kwa sana. Hawa vijana wetu WA hii entertainment industry sijui Wana Pepo gani. Yaani hiyo group ya Jux na Hao wenzake ukiona msela kajiunga hapo basi jua Hakuna kitu
Wenyewee wanaitaaa "The Classic Crew" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Darasa la Saba Mauldi Baraka Kitenge ni mpambanaji ambaye aliingia sokoni kwa kushiriki sana kuuliza maswali katika kipindi cha Mada Moto cha Pascal Mayala miaka hiyo. Huku akijifunza kuandika habari za michezo katika gazeti la Cheka ambalo lilikuwa Kidongo chekundu akaibukia Radio One akiinga sauti ya Aboubakary Liogo na kuinga miondoko ya Angetile miaka hiyo akiandikia the Guardian...kifupi sio mwandishi ni mjanja tu. Nitafutie clip yoyote ambayo kahoji mtu kwa lugha ya Kiingereza. Marehemu Ndolanga alikuwa anampa ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…