[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sishuhuliki nao hao.Mwingine yuko Dubai saiv na mke wake wa gelesha kumbe ye ndo mke...
anajiita "Bi. Jazeni" ila jina lake ni "mwanahamis Mangi"
[emoji23][emoji23][emoji23]
R u a gay too ?! Maana sijaelewa 😢😨😰[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sishuhuliki nao hao.
Niko na shost angu, anae pigania kulamba asali.
Huenda na mie ntakua naendesha v8 siku za weekend. Aririiiiiiiiiii.
Muulize yeye atakujibu. Na ukijua itakusaidia au kutusaidia nini?Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Au unataka kuwa chawa wake huyo Anti Omari nyembo?! 😃🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sishuhuliki nao hao.
Niko na shost angu, anae pigania kulamba asali.
Huenda na mie ntakua naendesha v8 siku za weekend. Aririiiiiiiiiii.
Kwan anaekua na rafik gay n gay pia? Kheeeeeh.R u a gay too ?! Maana sijaelewa [emoji22][emoji32][emoji27]
Afu walaa hata namfaham kwa ukaribuu tyuuh, through namkubali sanaa. Ko hvyoo tyuuh.Au unataka kuwa chawa wake huyo Anti Omari nyembo?! [emoji2][emoji848]
Mawazo ya kimasikini hayaDuh kumbe Elimu yake ndogo sana, angejiendeleza Sasa hivi anagalau angekuwa na B.A yake safi kabisa anyway kama anapata hela Kwa elimu yake Ile ile ya certificate safi tu,
°kuongeza elimu ni wazo la kimasikini?Mawazo ya kimasikini haya
Ila ommy kwanini alikubali kuwa choko mbona wenzie kina Diamond, Alikiba na jux wanapambana wanakula good life
Kwake kiingeereza ni elimu na taaluma tosha.Daah hii Nchi Ina wazee wa ajabu.
Yaan umezaliwa 1967..
Alafu unauliza swali kwamba akifika marekan anaongea lugha gan?
Yupo Washingtonhv kashaenda tena marekani?
Achaneni.Changu si umeshasema kinakaa tu ndani kutwa nzima.wewe unaekizungusha mitaani kutwa nzima ndo ukitulize kitulie.
Na amepambana na kufanikiwa mpaka wewe, mwenye uprofesa, unamfuatilia huku njaa ikikuuma hadi unatokwa na 'kipwenene'!Yule janja janja tuu na ka elimu kidogo ka uandishi habari basi sema utangazaji wa mpira na uchambuzi ndio unambeba
Jana nimemsikia kwenye kipindi anaboronga kutamka hata civics hawezi[emoji38]
Kwa mujibu wa sheria ya habari huyo Hana sifa, sheria inasema awe na DiplomaHana CV, elimu yake F4 and certificate ya Journalism ndhani