Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Kiwango cha elimu cha Maulid Kitenge?

Mwingine yuko Dubai saiv na mke wake wa gelesha kumbe ye ndo mke...

anajiita "Bi. Jazeni" ila jina lake ni "mwanahamis Mangi"

[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sishuhuliki nao hao.
Niko na shost angu, anae pigania kulamba asali.

Huenda na mie ntakua naendesha v8 siku za weekend. Aririiiiiiiiiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sishuhuliki nao hao.
Niko na shost angu, anae pigania kulamba asali.

Huenda na mie ntakua naendesha v8 siku za weekend. Aririiiiiiiiiii.
R u a gay too ?! Maana sijaelewa 😢😨😰
 
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Muulize yeye atakujibu. Na ukijua itakusaidia au kutusaidia nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sishuhuliki nao hao.
Niko na shost angu, anae pigania kulamba asali.

Huenda na mie ntakua naendesha v8 siku za weekend. Aririiiiiiiiiii.
Au unataka kuwa chawa wake huyo Anti Omari nyembo?! 😃🤔
 
Yule janja janja tuu na ka elimu kidogo ka uandishi habari basi sema utangazaji wa mpira na uchambuzi ndio unambeba
Jana nimemsikia kwenye kipindi anaboronga kutamka hata civics hawezi[emoji38]
Na amepambana na kufanikiwa mpaka wewe, mwenye uprofesa, unamfuatilia huku njaa ikikuuma hadi unatokwa na 'kipwenene'!
 
Inawezekana ana elimu ndogo sana, jiulize wewe degree yako imekusaidia nini? Maisha sio vidato vya darasani tu, shule ni sehemu ndogo ya maisha.
 
Back
Top Bottom