Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Bora umenisaidia maana anarukaruka tu hata anachoandika hakijui.Jibu swali la mtoa mada. Ana Kiwango gani cha elimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umenisaidia maana anarukaruka tu hata anachoandika hakijui.Jibu swali la mtoa mada. Ana Kiwango gani cha elimu?
Acha hasira ndugu. Tusaidie elimu ya Kitenge na ipi? Mtafute yule tajiri wa mafuta wa Morogoro muulizie pia elimu ya Kitenge. Unalia kama kasuku kujibu hoja hautakiPesa huna wewe.......Mtu mwenye pesa anapata wapi Ujinga wa kuuliza habari za Maisha ya Mtu mwingine, Maulidi sio Mtumishi wa Umma wala sio Mwanasiasa!
Na hizo story zenu za kwenye Vijiwe vya kahawa zinafanya muendelee kuwa Masikini kwa kuamini huwezi kupata pesa bila ya kuwa Punda, kila mtu mwenye pesa ni ama Punda ama Freemason ama Illuminati!
Wewe check na issue zako, achana na Maisha ya Watu.
Yule mke wa mjukuu ni geresha?Hyo Jux si alikuwa anakula mzungu WA hotel fulani (Mwanaume) na ndio chanzo cha kutemwa na mpare.
Jux na wenzake michezo Yao ni Ile Ile Wana kakundi Chao tena mmoja wao ni mjukuu WA babu yetu WA heshima. Sina ulinzi ngoja niishie hapa
Sijawahi kumsikia akiongea kidhunguMwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Upinde mkuuKatoroka zizini? Unamaanisha hana ubingwa?
Kujua lugha sio kusoma actually baada ya 45 years msomi na asiyesoma wote huwa sawaDaah hii Nchi Ina wazee wa ajabu.
Yaan umezaliwa 1967..
Alafu unauliza swali kwamba akifika marekan anaongea lugha gan?
Mkuu wala usiende mbali,unadhani Kitenge angekuwa ana shule si ingekuwa matangazo kila kukichwa, huyo alikuwa mwandishi kanjanja wa gazeti la Mfanyakazi miaka ile ya akina James Nhende, angalau hata Haji Manara ana shule ya kuunga kuliko chawa Kitenge.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Kuna watu wanaishi Marekani na hata cha kuombea maji hawajui? na huyo mwamba wako akienda Marekani anaongozwa na Watz wao ndio humsemea kila kitu ukiacha morning yeah yeah oh yes oh noAkifika Marekani anaongea lugha gani?
nifungulie code mkuu umeniacha katoroKatoroka zizini? Unamaanisha hana ubingwa?
Katoroka zizini? Unamaanisha hana ubingwa?
Hana ubingwanifungulie code mkuu umeniacha katoro
Kama ni "mtangazaji nguli" elimu inajalisha nini ? Umeshampa unguli.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Bongo ukiongea sana cv toshaJamaa ana maisha mazuri sana ,nyinyi ng'ang'anieni tu na mambo ya ma vyeti ,kina baba levo ,dayamondi ,nandy ,jeshi ,marioo haana vyeti.
Bongo ukiongea sana cv tosha
Unaweza ukawekwa popote
Ova
Akifika Marekani anaongea lugha gani?