Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
mtoa porojo ni Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi pekee,Mkuu,
Kuna ushahidi usio acha doubt 🧐 kwenye hii thread yako.. unge utoa..pengine ni porojo.
ndie pekee hutoa tuhuma kwa Chadema na viongozi waaandamizi wenzake chamani.
muhesabuji kura wa Kibaraka kagawa mpunga mno, ulipomuishia na wajumbe bado waliua wanahitaji ndio akaona sasa akatafute kazi ingine ya kuhesabu kura, but pesa za kugawa rushwa zilimuishia na hakua na namna ingine 🐒