mtoa porojo ni Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi pekee,Mkuu,
Kuna ushahidi usio acha doubt π§ kwenye hii thread yako.. unge utoa..pengine ni porojo.
We jamaa mpumbavu kweli yani, baada ya kushuhudia mnaempigia chapua akimwaga mapesa ya mama Abdul wazi wazi sasa unataka kutuhadaa ionekane wote wanatoa rushwa. Kwanza mlishasema Lissu Hana hela ni mbangaizaji sasa hayo mapesa ya kumwaga kayatolea wapi ghafla hivyo??My friends, ladies and gentlemen!
Rushwa inatembezwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa kama njugu, bila aibu au kificho.
Hakuna upande unaogombea uongozi, wa kukemea upande mwingine, kwasababu wote wanashiriki kwenye uovu huo unao chafua haiba ya chama chao na uelekeo wa misingi yake. Sio wanachama ambao ndio wajumbe wapiga kura, sio viongozi wao wagombea uongozi na wapambe wao, wote wanatoa na kupokea rushwa, na kwa wakati huu bila kificho. Hakuna wa kumkoromea mwingine kwenye hilo ndani ya Chadema kwasasa.
Kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa za Tanzania, ni chama gani cha siasa cha upinzani nchini, kinaweza kua mbadala wa Chadema na kuaminika tena katika suala zima la kukemea rushwa hasa nyakati za uchaguzi, ukiachilia mbali CCM na Serikali yake sikivu chini ya Dr Samia Suluhu Hassan ambao wamefanikiwa kudhibiti miaya ya rushwa kwa kiwango kikubwa zaidi tangu tupate uhuru?π
Mungu Ibariki Tanzania
Hiyo ndio imeshangaza wengi kwamba Kibaraka hana pesa halafu mpambe wake bila aibu wazi wazi anagawa mpunga kwa wajumbe kama hana akili nzuri,We jamaa mpumbavu kweli yani, baada ya kushuhudia mnaempigia chapua akimwaga mapesa ya mama Abdul wazi wazi sasa unataka kutuhadaa ionekane wote wanatoa rushwa. Kwanza mlishasema Lissu Hana hela ni mbangaizaji sasa hayo mapesa ya kumwaga kayatolea wapi ghafla hivyo??
Tulia sawa ikuingia taratibu itakua mshaanza kuona dalili mbaya kwa mtu wenu that's why mnaanza kuamisha magoriπHiyo ndio imeshangaza wengi kwamba Kibaraka hana pesa halafu mpambe wake bila aibu wazi wazi anagawa mpunga kwa wajumbe kama hana akili nzuri,
au yale yalikua makaratasi gentleman? halafu vile visungura alivitoa wapi?π
Una integrity kiwango gani kuijadili CHADEMA ewe mbogamboga?zingatia hoja mahususi mezani bas gentleman π
Vipi mbangaizaji naye kapata pesa za kugawa?My friends, ladies and gentlemen!
Rushwa inatembezwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa kama njugu, bila aibu au kificho.
Hakuna upande unaogombea uongozi, wa kukemea upande mwingine, kwasababu wote wanashiriki kwenye uovu huo unao chafua haiba ya chama chao na uelekeo wa misingi yake. Sio wanachama ambao ndio wajumbe wapiga kura, sio viongozi wao wagombea uongozi na wapambe wao, wote wanatoa na kupokea rushwa, na kwa wakati huu bila kificho. Hakuna wa kumkoromea mwingine kwenye hilo ndani ya Chadema kwasasa.
Kwa mtazamo wako kama mdau wa siasa za Tanzania, ni chama gani cha siasa cha upinzani nchini, kinaweza kua mbadala wa Chadema na kuaminika tena katika suala zima la kukemea rushwa hasa nyakati za uchaguzi, ukiachilia mbali CCM na Serikali yake sikivu chini ya Dr Samia Suluhu Hassan ambao wamefanikiwa kudhibiti miaya ya rushwa kwa kiwango kikubwa zaidi tangu tupate uhuru?π
Mungu Ibariki Tanzania
nina credibility ya kueleza ukweli dhidi ya kiwango cha rushwa kinachotumika katika uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa.Una integrity kiwango gani kuijadili CHADEMA ewe mbogamboga?
Mamen kumpamba mama na kumpamba mwamba yaonyesha huna jema na chama chetu kabisa. Ulikosa dili la dodoma likaangukia kwa wasanii wakakutosa wewe na uwapambaniavoHiyo ndio imeshangaza wengi kwamba Kibaraka hana pesa halafu mpambe wake bila aibu wazi wazi anagawa mpunga kwa wajumbe kama hana akili nzuri,
au yale yalikua makaratasi gentleman? halafu vile visungura alivitoa wapi?π
Gentleman,Tofauti yako na Lucas, yeye ni kama saa mbovu. Ana nyakati chache anapopata utimamu na akili humrejea. Lakini wewe, you're beyond help. Ila tumaini bado lipo.
Hiyo rushwa imetoka wapi mkuu?nina credibility ya kueleza ukweli dhidi ya kiwango cha rushwa kinachotumika katika uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa.
ni aibu gentleman, ni najisi kwa demokrasia π
Hiyo hela ya rushwa utakayopewa unikabidhi mimi tujenge familia daddieππUkipewa rushwa, pokea weka mfukoni afu kura weka upande wa pili
Nipigie babeHiyo hela ya rushwa utakayopewa unikabidhi mimi tujenge familia daddieππ
no gentleman,Tulia sawa ikuingia taratibu itakua mshaanza kuona dalili mbaya kwa mtu wenu that's why mnaanza kuamisha magoriπ
wakala wa kibaraka wa mambwenyenye ya magharibi anaweza kua kwenye nafasi nzur zaidi ya kueleza hilo gentleman,Hiyo rushwa imetoka wapi mkuu?
Wamekusanya hela A Join the Chain au wameokota wapi gunia la hela?
Unaelewa kabisa source za hela hizo zinatoka wapi
Gentleman,Mamen kumpamba mama na kumpamba mwamba yaonyesha huna jema na chama chetu kabisa. Ulikosa dili la dodoma likaangukia kwa wasanii wakakutosa wewe na uwapambaniavo