Kiwango cha ulemavu kwa askari wa Israel kinatisha

Kiwango cha ulemavu kwa askari wa Israel kinatisha

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Idadi ya askari walipata ulemavu katika jeshi la Israel katika vita vinavyoendelea imepanda sana na kuongeza gharama za vita.

Askari hao wamekiri wenyewe kupigwa na makombora ya Hamas,ushahidi ambao hapo zamani haikutarajiwa kusikika kutoka jeshi la Israel.

Habari hizi ni miongoni mwa nishani za wapiganaji wa Hamas na pindi wakishikilia kupiga kwa kasi kidogo basi vijana wadogo wa Israel wataanza kukimbia kuogopa kuingizwa vita kama vile wanavyofanya wenzao wa Ukraine.

1703790803817.png

1703790928884.png


The number of wounded Israeli soldiers is mounting, representing a hidden cost of war

 
Mtakuja na ngonjera zote lakini malengo ya Israel lazima yatimie, hakuna jiwe litaoalosalia juu ya jiwe, hamas ni makundi kama Alshababu, moslem brotherhood, Boko Haram, Janjaweed, ISIS, hata kama wangekuwa na nchi yao bado wangeichokoza Israel kutokana na sababu za kiimani, Israel hana chaguo lingine isipokuwa kuwaangamiza hamasi kwa gharama yoyote, baada ya miezi 5 mtatuambia. Mbaya zaidi geographia ya Gaza imekaa vibaya sana
 
Idadi ya askari walipata ulemavu katika jeshi la Israel katika vita vinavyoendelea imepanda sana na kuongeza gharama za vita.

Askari hao wamekiri wenyewe kupigwa na makombora ya Hamas,ushahidi ambao hapo zamani haikutarajiwa kusikika kutoka jeshi la Israel.

Habari hizi ni miongoni mwa nishani za wapiganaji wa Hamas na pindi wakishikilia kupiga kwa kasi kidogo basi vijana wadogo wa Israel wataanza kukimbia kuogopa kuingizwa vita kama vile wanavyofanya wenzao wa Ukraine.

View attachment 2855989
View attachment 2855991

The number of wounded Israeli soldiers is mounting, representing a hidden cost of war

Endeleeni kujifariji kwa kulemaza na kuua watu ambao hata buku mbili hawafiki huku watu wa Gaza wakizidi kuteketea na makazi yao kuharibiwa.

Mkipata taarifa nzuri masikioni mwenu mnashangilia vita, halafu mkipata mbaya masikioni mwenu mnalilia ceasefire na kuwalaumu waarabu, waajemi, warusi, wachina kwa kutokuingilia vita na kusaidia, mara wamagharibi kwa kuchochea vita, hadi waswahili kwa kutokuilaani Israel na kutokuiombea Palestina.

Halafu mada zote hizo za sherehe, vilio na malalamiko wewe mtoa mada unazileta tu, hueleweki unataka amani Gaza ama shari.

Sijui huwa mna akili gani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtakuja na ngonjera zote lakini malengo ya Israel lazima yatimie, hakuna jiwe litaoalosalia juu ya jiwe, hamas ni makundi kama Alshababu, moslem brotherhood, Boko Haram, Janjaweed, ISIS, hata kama wangekuwa na nchi yao bado wangeichokoza Israel kutokana na sababu za kiimani, Israel hana chaguo lingine isipokuwa kuwaangamiza hamasi kwa gharama yoyote, baada ya miezi 5 mtatuambia. Mbaya zaidi geographia ya Gaza imekaa vibaya sana
Wenyewe wanalalamika na kujaa hofu wewe unatetea tu.
Hujaona kuwa hayo makundi uliyoyataja akina ISIS na bokoharama yalikuwa hewa tu. ndio mana kila siku US na Israel walikuwa wakijipa ushindi wa mezani.
Hamas ni kweli na ni tofauti na hayo mengine
 
Mtakuja na ngonjera zote lakini malengo ya Israel lazima yatimie, hakuna jiwe litaoalosalia juu ya jiwe, hamas ni makundi kama Alshababu, moslem brotherhood, Boko Haram, Janjaweed, ISIS, hata kama wangekuwa na nchi yao bado wangeichokoza Israel kutokana na sababu za kiimani, Israel hana chaguo lingine isipokuwa kuwaangamiza hamasi kwa gharama yoyote, baada ya miezi 5 mtatuambia. Mbaya zaidi geographia ya Gaza imekaa vibaya sana
Ww una cheo gani ndani ya Israel ? Kama kutimiza malengo ingekuwa rahisi basi wangekuwa wameshayatimiza.
 
Mtakuja na ngonjera zote lakini malengo ya Israel lazima yatimie, hakuna jiwe litaoalosalia juu ya jiwe, hamas ni makundi kama Alshababu, moslem brotherhood, Boko Haram, Janjaweed, ISIS, hata kama wangekuwa na nchi yao bado wangeichokoza Israel kutokana na sababu za kiimani, Israel hana chaguo lingine isipokuwa kuwaangamiza hamasi kwa gharama yoyote, baada ya miezi 5 mtatuambia. Mbaya zaidi geographia ya Gaza imekaa vibaya sana
Israhell kuifuta hamas hilo mulisahau kabisa
Malengo pekee anayo endelea kuyatimiza nikuua watu wasiokua na hatia wakiwemo wamama na watoto
 
Israhell kuifuta hamas hilo mulisahau kabisa
Malengo pekee anayo endelea kuyatimiza nikuua watu wasiokua na hatia wakiwemo wamama na watoto
Wataalamu wa kivita wameshaliweka wazi hilo.
Kushughulika na kuwanyamazisha watu milioni 2.3 ni kazi yenye kuchosha sana.
Huwezi kuwaua wote na huna sehemu ya kuwapeleka zaidi ya Gaza na hata kuwatawala hawatawaliki.
Israel imejipa jukumu zito litakalowashinda njiani.Wakati wowote badala ya kumalizika Hamas itakuwa kama wamezaiwa upya.
Vijana daima wanapita chochoroni kurudi kwenye magofu waanze kujipanga upya.Zaidi ya nusu ya wapalestina daima ni watoto.Watoto wa sasa ni hawa ambao wameshuhudia wenzao wakiuliwa.Huwezi kuwanyamazisha hata siku moja na hawatawaliki.
 
Israhell kuifuta hamas hilo mulisahau kabisa
Malengo pekee anayo endelea kuyatimiza nikuua watu wasiokua na hatia wakiwemo wamama na watoto
Hao watoto ni kizazi cha nyoka na akina mama wamezaa nyoka kwahy ngoja wauwawe waishe kabisa.
 
Write your reply...unaisifia hamas sababu wana dini kama yako..hahaha dah yan dini tu inatosha,hata wakimnaniliu mdg ako wa kike bila mali we fresh tu.dogo usisifie ugaidi hata ww na huo uislam wako wanaweza kukuua
 
Mtakuja na ngonjera zote lakini malengo ya Israel lazima yatimie, hakuna jiwe litaoalosalia juu ya jiwe, hamas ni makundi kama Alshababu, moslem brotherhood, Boko Haram, Janjaweed, ISIS, hata kama wangekuwa na nchi yao bado wangeichokoza Israel kutokana na sababu za kiimani, Israel hana chaguo lingine isipokuwa kuwaangamiza hamasi kwa gharama yoyote, baada ya miezi 5 mtatuambia. Mbaya zaidi geographia ya Gaza imekaa vibaya sana
Wewe Misrael mweusi umejifungia kwenye geto lako Bonyokwa na Tecno yako unatoa matamko hujui lolote llinaloendelea Gaza baki na ushabiki Mandazi tu wasome Wairael wenyewe achana na wewe taka taka.


View: https://x.com/sprinter99800/status/1739691200548872574?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Idadi ya askari walipata ulemavu katika jeshi la Israel katika vita vinavyoendelea imepanda sana na kuongeza gharama za vita.

Askari hao wamekiri wenyewe kupigwa na makombora ya Hamas,ushahidi ambao hapo zamani haikutarajiwa kusikika kutoka jeshi la Israel.

Habari hizi ni miongoni mwa nishani za wapiganaji wa Hamas na pindi wakishikilia kupiga kwa kasi kidogo basi vijana wadogo wa Israel wataanza kukimbia kuogopa kuingizwa vita kama vile wanavyofanya wenzao wa Ukraine.

View attachment 2855989
View attachment 2855991

The number of wounded Israeli soldiers is mounting, representing a hidden cost of war


View: https://x.com/qudsnen/status/1740389906055409909?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Endeleeni kujifariji kwa kulemaza na kuua watu ambao hata buku mbili hawafiki huku watu wa Gaza wakizidi kuteketea na makazi yao kuharibiwa.

Mkipata taarifa nzuri masikioni mwenu mnashangilia vita, halafu mkipata mbaya masikioni mwenu mnalilia ceasefire na kuwalaumu waarabu, waajemi, warusi, wachina kwa kutokuingilia vita na kusaidia, mara wamagharibi kwa kuchochea vita, hadi waswahili kwa kutokuilaani Israel na kutokuiombea Palestina.

Halafu mada zote hizo za sherehe, vilio na malalamiko wewe mtoa mada unazileta tu, hueleweki unataka amani Gaza ama shari.

Sijui huwa mna akili gani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Uharo mtupu.
 
Idadi ya askari walipata ulemavu katika jeshi la Israel katika vita vinavyoendelea imepanda sana na kuongeza gharama za vita.

Askari hao wamekiri wenyewe kupigwa na makombora ya Hamas,ushahidi ambao hapo zamani haikutarajiwa kusikika kutoka jeshi la Israel.

Habari hizi ni miongoni mwa nishani za wapiganaji wa Hamas na pindi wakishikilia kupiga kwa kasi kidogo basi vijana wadogo wa Israel wataanza kukimbia kuogopa kuingizwa vita kama vile wanavyofanya wenzao wa Ukraine.

View attachment 2855989
View attachment 2855991

The number of wounded Israeli soldiers is mounting, representing a hidden cost of war

Mnatafuta faraja
 
Hawa wanamgambo wa Israel wamezoe sana kuonea wanawake na watoto kule West Bank wakadhani Gaza inakuwa hivyo na vita vita vitakuwa kama vya kwenye sinema wamejikuta wameingian kwenye mtego kama vile Vetnam walivyokuwa wanauliwa wamarekani vita vya kiviziwa, hamas wao wanavamia wanaua wanachukua na silaha.
 
Iwapo waarabu wameshindwa kutoa msaada basi msaada wa Mungu hauna kikomo.
Tangu lini RPG ya kutengenezwa na chuma chakavu ikapiga kifaru cha kisasa cha merkava !
Hao Waarubu ni wanafiki mtu Muarabu amnbaye ana uchungu na ndugi yake no Yemeni tu, na Gaza inalindwa na Mungu peke yake.
 
Idadi ya askari walipata ulemavu katika jeshi la Israel katika vita vinavyoendelea imepanda sana na kuongeza gharama za vita.

Askari hao wamekiri wenyewe kupigwa na makombora ya Hamas,ushahidi ambao hapo zamani haikutarajiwa kusikika kutoka jeshi la Israel.

Habari hizi ni miongoni mwa nishani za wapiganaji wa Hamas na pindi wakishikilia kupiga kwa kasi kidogo basi vijana wadogo wa Israel wataanza kukimbia kuogopa kuingizwa vita kama vile wanavyofanya wenzao wa Ukraine.

View attachment 2855989
View attachment 2855991

The number of wounded Israeli soldiers is mounting, representing a hidden cost of war

Akili za muislam bwana, sasa kama wengi ni walemavu mmeshindwa vipi kuwapiga na kuchukua ardhi yenu? kwahiyo unatwambia walemavu wa akili ni nyie waislam et ambao mnaogopa walemavu wa viungo 🤣🤣🤣🤣
 
Wataalamu wa kivita wameshaliweka wazi hilo.
Kushughulika na kuwanyamazisha watu milioni 2.3 ni kazi yenye kuchosha sana.
Huwezi kuwaua wote na huna sehemu ya kuwapeleka zaidi ya Gaza na hata kuwatawala hawatawaliki.
Israel imejipa jukumu zito litakalowashinda njiani.Wakati wowote badala ya kumalizika Hamas itakuwa kama wamezaiwa upya.
Vijana daima wanapita chochoroni kurudi kwenye magofu waanze kujipanga upya.Zaidi ya nusu ya wapalestina daima ni watoto.Watoto wa sasa ni hawa ambao wameshuhudia wenzao wakiuliwa.Huwezi kuwanyamazisha hata siku moja na hawatawaliki.
Nahuu ndio ukwel njia pekee yakuifuta hamas nikuwaua raia wote wa ghaza
Israhell alitaka watu wawafungulie mipaka wakimbie watu wamegoma wamestuka
Wapalestine wa ghasa wanapitia kipindi kigumu sana kwahakika
Ila wakiweza kuvuka hiki kipindi na israhell ikashindwa kuifuta hamas kama ilivyodhamiria
Hio ambush watakayopigwa miaka kadhaa huko mbele hawatakaa waisahau maana haitakua tena hii kama tuionayo leo hiii
 
Back
Top Bottom