Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwasababu wao wataishi milele hakuna tabu wawaue tuuuHao watoto ni kizazi cha nyoka na akina mama wamezaa nyoka kwahy ngoja wauwawe waishe kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu wao wataishi milele hakuna tabu wawaue tuuuHao watoto ni kizazi cha nyoka na akina mama wamezaa nyoka kwahy ngoja wauwawe waishe kabisa.
kujifariji vp wakati vitu vipo wazi mzee...watu buku mbili hawafiki lkn zitapigwa mpk mashoga wachakae...Endeleeni kujifariji kwa kulemaza na kuua watu ambao hata buku mbili hawafiki huku watu wa Gaza wakizidi kuteketea na makazi yao kuharibiwa.
Mkipata taarifa nzuri masikioni mwenu mnashangilia vita, halafu mkipata mbaya masikioni mwenu mnalilia ceasefire na kuwalaumu waarabu, waajemi, warusi, wachina kwa kutokuingilia vita na kusaidia, mara wamagharibi kwa kuchochea vita, hadi waswahili kwa kutokuilaani Israel na kutokuiombea Palestina.
Halafu mada zote hizo za sherehe, vilio na malalamiko wewe mtoa mada unazileta tu, hueleweki unataka amani Gaza ama shari.
Sijui huwa mna akili gani!
Sent using Jamii Forums mobile app
na benja nae anatoa takwimu za kuwafariji waisrael...ngoma inogileHali ni tete.Abu Ubeida anatoa takwimu za kuwatisha IDF
Mtakuja na ngonjera zote lakini malengo ya Israel lazima yatimie, hakuna jiwe litaoalosalia juu ya jiwe, hamas ni makundi kama Alshababu, moslem brotherhood, Boko Haram, Janjaweed, ISIS, hata kama wangekuwa na nchi yao bado wangeichokoza Israel kutokana na sababu za kiimani, Israel hana chaguo lingine isipokuwa kuwaangamiza hamasi kwa gharama yoyote, baada ya miezi 5 mtatuambia. Mbaya zaidi geographia ya Gaza imekaa vibaya sana