Hahah saw bhanKitone tu mtu anapata mimba.Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Bageshi...Yaani kesho unakwenda kunitafutia kapwa kengine? Nahene nkoyi. Jagaūgaching'we chiza [emoji16][emoji16][emoji2099]Kitone tu mtu anapata mimba.Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Itabidi topiki za Mfumo wa Uzazi darasa la 7 na Reproduction kidato cha 3 na 4 zifundishwe kwa undani zaidi. Juzi kuna baharia pia alileta uzi hapa akilalamika kuwa kabambikiwa mimba kisa eti alimwagia nje bao la kwanza halafu akarudi tena na kuunganisha bao la pili...Ndio mimba anapata.
Na hapo ukiunganisha cha pili kabla haujaenda kukojoa ( mkojo wa kawaida) zile precum zinatoka na shahawa zilizobaki njiani so anapata tena mimba.
Na kama yai limeshapevuka hata akitumia p2 baada ya lisaa haiwezi kuzuia mimba.
Tumia condom siku nyingine.
Kitone tu mtu anapata mimba.Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Ichi kitu kilinipata , akatumia p2 , kumbe yai lishapevuka p2 ikagoma, Nashukuru Mungu Sasa Nina mtoto,Ndio mimba anapata.
Na hapo ukiunganisha cha pili kabla haujaenda kukojoa ( mkojo wa kawaida) zile precum zinatoka na shahawa zilizobaki njiani so anapata tena mimba.
Na kama yai limeshapevuka hata akitumia p2 baada ya lisaa haiwezi kuzuia mimba.
Tumia condom siku nyingine.
mkumbushe 😅😅Kitone tu mtu anapata mimba.Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Npe nafas nikujazeKitone tu mtu anapata mimba.Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Huyo mtoto nahisi jina lake atakuwa anaitwa "Sikujua"etiIchi kitu kilinipata , akatumia p2 , kumbe yai lishapevuka p2 ikagoma, Nashukuru Mungu Sasa Nina mtoto,
Sikuwahi kujua we ni mtaalum hivi!Ndio mimba anapata.
Na hapo ukiunganisha cha pili kabla haujaenda kukojoa ( mkojo wa kawaida) zile precum zinatoka na shahawa zilizobaki njiani so anapata tena mimba.
Na kama yai limeshapevuka hata akitumia p2 baada ya lisaa haiwezi kuzuia mimba.
Tumia condom siku nyingine.
Wakuu,
Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba? Nina maana endapo hujatumia kondom na ulipanga kuchomoa wakati wa ejaculation na kwa bahati nzuri au mbaya ukachelewa kuchomoa uume na kiwango fulani kikaingia na kiwango fulani kikatoka nje. Je kwa mazingira hayo yaweza pelekea mimba? Naomba kujuzwa
Leo yani. Jiandae mwakani mwezi April kubeba bhifa.Bageshi...Yaani kesho unakwenda kunitafutia kapwa kengine? Nahene nkoyi. Jagaūgaching'we chiza [emoji16][emoji16][emoji2099]