usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Nzungushie mafekeche dm aiseeHongera ba kijacho....[emoji16]
Acha Mambo yako[emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzungushie mafekeche dm aiseeHongera ba kijacho....[emoji16]
Tuma hela weyeee na tozo 😁Nzungushie mafekeche dm aisee
Acha Mambo yako[emoji2][emoji2][emoji2]
Naomba bajet ya makadirioTuma hela weyeee na tozo [emoji16]
Hata akituma p2 baada ya lisaa awezi kuzuia mimba? Kivipi yaniNdio mimba anapata.
Na hapo ukiunganisha cha pili kabla haujaenda kukojoa ( mkojo wa kawaida) zile precum zinatoka na shahawa zilizobaki njiani so anapata tena mimba.
Na kama yai limeshapevuka hata akitumia p2 baada ya lisaa haiwezi kuzuia mimba.
Tumia condom siku nyingine.
Wewe unatumiaga?Ndio mimba anapata.
Na hapo ukiunganisha cha pili kabla haujaenda kukojoa ( mkojo wa kawaida) zile precum zinatoka na shahawa zilizobaki njiani so anapata tena mimba.
Na kama yai limeshapevuka hata akitumia p2 baada ya lisaa haiwezi kuzuia mimba.
Tumia condom siku nyingine.
Yes ila siku hizi natumia calendar tu.Wewe unatumiaga?
P2 inachelewesha ovary kuachilia yai. Ovulation ikichelewa maana yake zile mbegu hazitakuwa na uwezo wa kusababisha mimba. Lakini kama ovulation tayari imeanza hauna haja ya kumeza tena maana zile hazizuii kutunga mimba bali zinachelewesha tu kutokea kwa ovulation.Hata akituma p2 baada ya lisaa awezi kuzuia mimba? Kivipi yani
HongeraYes ila siku hizi natumia calendar tu.
Hata akituma p2 baada ya lisaa awezi kuzuia mimba? Kivipi yaniNdio mimba anapata.
Na hapo ukiunganisha cha pili kabla haujaenda kukojoa ( mkojo wa kawaida) zile precum zinatoka na shahawa zilizobaki njiani so anapata tena mimba.
Na kama yai limeshapevuka hata akitumia p2 baada ya lisaa haiwezi kuzuia mimba.
Tumia condom siku nyingine.
Na ovulationP2 inachelewesha ovary kuachilia yai. Ovulation ikichelewa maana yake zile mbegu hazitakuwa na uwezo wa kusababisha mimba. Lakini kama ovulation tayari imeanza hauna haja ya kumeza tena maana zile hazizuii kutunga mimba bali zinachelewesha tu kutokea kwa ovulation.
Umeelewa sasa?
Sasa nini maana ya p2 kama itashindwa kuzuia mimba kipindi cha ovulation?P2 inachelewesha ovary kuachilia yai. Ovulation ikichelewa maana yake zile mbegu hazitakuwa na uwezo wa kusababisha mimba. Lakini kama ovulation tayari imeanza hauna haja ya kumeza tena maana zile hazizuii kutunga mimba bali zinachelewesha tu kutokea kwa ovulation.
Umeelewa sasa?
Mwambie tena kitone tu kinatoa hadi mapachaKitone tu mtu anapata mimba. Kesho nakwenda kupata mimba. Wewe unahofia mimba. Tuujaze ulimwengu jamani.
Sasa nini maana ya p2 kama itashindwa kuzuia mimba kipindi cha ovulation?
Upo sahihi kuwa P2 kazi yake ni kuzuia ovulation isitokee lakin aifanyi hivyo tu, p2 pia ina Fanya kazi kwa kuzalisha uteute mzito kwenye cervix yako ambao utazuia shahawa kutembea na kupenya kwenye yai