Kiwango gani cha mbegu za kiume kinaweza kupelekea mimba?

Kiwango gani cha mbegu za kiume kinaweza kupelekea mimba?

Dah alijua wazungu ndo ukimwi wenyewe dah kashauza gridi uyo
Shule nilifundishwa semen zinakuwa na virus. Ikiwa na maana ukifanya mapenzi na mtu kama ana vidonda au michubuko ukeni na uki cum inside her uwezekano wa kumwambukiza ni mkubwa hata kama wewe hauna michubuko tofauti na uki-pull out.

Au sikusikiliza vizuri?
 
Ndio ulielewa vizuri lakini kama ni nyama kwa nyama ata akicum outside haisaidii zile friction ni balaa alafu semen inakua ni infective haswa ukiwa na high viral load
Shule nilifundishwa semen zinakuwa na virus. Ikiwa na maana ukifanya mapenzi na mtu kama ana vidonda au michubuko ukeni na uki cum inside her uwezekano wa kumwambukiza ni mkubwa hata kama wewe hauna michubuko tofauti na uki-pull out.

Au sikusikiliza vizuri?
 
Sisi tunaokojoa nusu kikombe Cha chai tutaweza kubebesha watoto wangapi kwa mkupuo??.
 
Basi ndio ikawa hivyo wapendwa. Nimesoma shauri zenu wengi wanasema ni mimba ngoja nisubiri matokeo maana ni mimi mwenyewe nimefanya hivyo.
 
Unataka uruke?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tulia hivyo hiiiivyo.
 
Basi ndio ikawa hivyo wapendwa. Nimesoma shauri zenu wengi wanasema ni mimba ngoja nisubiri matokeo maana ni mimi mwenyewe nimefanya hivyo.
Sisi mbona tulijua ni wewe.

Subiri dogo huyo.
 
Tuma consultation fee nikupe maflekechee, usisahau ya kutolea pamoja na tozo [emoji16][emoji16]
Sasa hapa kwenye tozo ndo kunashida
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Alaf kila nkimshawish kuhusu
Mafekeche inakua n shida n Kama
Hataki
 
Back
Top Bottom