Kiwango gani cha mbegu za kiume kinaweza kupelekea mimba?

Kiwango gani cha mbegu za kiume kinaweza kupelekea mimba?

Itabidi topiki za Mfumo wa Uzazi darasa la 7 na Reproduction kidato cha 3 na 4 zifundishwe kwa undani zaidi. Juzi kuna baharia pia alileta uzi hapa akilalamika kuwa kabambikiwa mimba kisa eti alimwagia nje bao la kwanza halafu akarudi tena na kuunganisha bao la pili...
Umeona eeh, hapo unakuta anakazana nilimwaga nje nilimwaga nje. Na wenzake wa humu wanamjaza ujinga kwamba kuna baharia alimwaga ndani kabla yake.

Mwingine nikaona analalamika wakwake alimeza P2 mbele yake akishuhudia iweje leo anamwambia ana mimba[emoji23][emoji23].
 
Ichi kitu kilinipata , akatumia p2 , kumbe yai lishapevuka p2 ikagoma, Nashukuru Mungu Sasa Nina mtoto,
Acha kabisa, yaani kama yai limeshapevuka mimba inatunga ndani ya dakika kadhaa tu. Na P2 kazi yake ni kuchelewesha kupevuka kwa yai na sio kuharibu mimba iliyokwisha tungwa. Mara tu yai likishapevuka P2 haina kazi tena ni kusubiri kuitwa baba au mama.
 
Sikuwahi kujua we ni mtaalum hivi!
Watu na experience zenu..[emoji1787]
Kwenda huko[emoji41].
Kwenye hii sector mimi ni mtaalam kweli[emoji23][emoji23][emoji23] japo nilisoma sanaa.
 
Kwenda huko[emoji41].
Kwenye hii sector mimi ni mtaalam kweli[emoji23][emoji23][emoji23] japo nilisoma sanaa.
Kusoma na ma experiment ya kutosha huimarisha mtu hongera..🤣
 
Wakuu,

Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba?

Nina maana endapo hujatumia kondom na ulipanga kuchomoa wakati wa ejaculation na kwa bahati nzuri au mbaya ukachelewa kuchomoa uume na kiwango fulani kikaingia na kiwango fulani kikatoka nje.

Je kwa mazingira hayo yaweza pelekea mimba? Naomba kujuzwa
Hata moja kamoja tuu kanatosha imradi ifike kwenye fallopian tube,
98%,unamwaga njee, 1% inakufa njiani, 1% inarutubisha yai
 
Itabidi topiki za Mfumo wa Uzazi darasa la 7 na Reproduction kidato cha 3 na 4 zifundishwe kwa undani zaidi. Juzi kuna baharia pia alileta uzi hapa akilalamika kuwa kabambikiwa mimba kisa eti alimwagia nje bao la kwanza halafu akarudi tena na kuunganisha bao la pili...
Wewe unasema hili, kulikuwa na kampeni flani ya upimaji Vvu, jamaa mmoja akaulizwa na mshikaji wangu kwa nini haendi kupima akasema yeye tayari ana maambukizi na anatumia dawa akaonyesha na kadi yake. Akaulizwa Kama akichepuka huwa anawalindaje wenza wake akasema yaani kabla ya kukojoa huwa anatoa mb.oo na kumwaga nje!!! Tulipigwa na ganzi tukajua huyu kaua wengi.
 
Wewe unasema hili, kulikuwa na kampeni flani ya upimaji Vvu, jamaa mmoja akaulizwa na mshikaji wangu kwa nini haendi kupima akasema yeye tayari ana maambukizi na anatumia dawa akaonyesha na kadi yake. Akaulizwa Kama akichepuka huwa anawalindaje wenza wake akasema yaani kabla ya kukojoa huwa anatoa mb.oo na kumwaga nje!!! Tulipigwa na ganzi tukajua huyu kaua wengi.
hahaha! nimecheka japo inasikitisha
 
Kuna mtu kishapewa mimba huko, muda huo huo baba kijacho anatafuta mbinu za kupangua.
 
Wewe unasema hili, kulikuwa na kampeni flani ya upimaji Vvu, jamaa mmoja akaulizwa na mshikaji wangu kwa nini haendi kupima akasema yeye tayari ana maambukizi na anatumia dawa akaonyesha na kadi yake. Akaulizwa Kama akichepuka huwa anawalindaje wenza wake akasema yaani kabla ya kukojoa huwa anatoa mb.oo na kumwaga nje!!! Tulipigwa na ganzi tukajua huyu kaua wengi.
Dah alijua wazungu ndo ukimwi wenyewe dah kashauza gridi uyo
 
Wakuu,

Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba?

Nina maana endapo hujatumia kondom na ulipanga kuchomoa wakati wa ejaculation na kwa bahati nzuri au mbaya ukachelewa kuchomoa uume na kiwango fulani kikaingia na kiwango fulani kikatoka nje.

Je kwa mazingira hayo yaweza pelekea mimba? Naomba kujuzwa.

Daaaah
 
Vijiko viwili vile vidogo vya sukari ndo vinatosha kubebeshea mimba
 
Back
Top Bottom