Kiwango gani cha umaskini umekishuhudia kikakushangaza na kukusikitisha?

Kiwango gani cha umaskini umekishuhudia kikakushangaza na kukusikitisha?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
 
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.
1.watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda.wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno

2.mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno.aisee dhiki isikie tu

3.watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4.watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge,panya,chura wakubwa na wadudu sio poa.

5.watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6.kuishi na mifugo kwenye kijumba mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Mnachopaswa si kuwashangaa na kutembea(kuwagonga)mabinti.Wasaidieni wajikwamue na ufakir wao.CCM oyeeeee!
 
Mkuu mbona kila siku tunaambiwa huku Dar kunanuka,kuna joto maisha magumu tunashindia utumbo wa kuku? Kwamba maisha mazuri yapo huko mikoani na vijiji vyenu? au uko huku kwetu mbagala ukadhani uko kijijini?
Kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha kati ya motivation speaker na memes.

Halafu pigia mstari huo sio uhalisia
 
Mkuu mbona kila siku tunaambiwa huku Dar kunanuka, kuna joto maisha magumu tunashindia utumbo wa kuku? Kwamba maisha mazuri yapo huko mikoani na vijiji vyenu? Au uko huku kwetu Mbagala ukadhani uko kijijini?
Ni kweli huko Dar ndivyo mnavyoishi na si urongo.Lakini,hata huku "vijijini,si kote panafanana.Inategemea uko wapi.
 
Kule arusha kuna wamaasai wanatembea kutoka ngaramtoni, monduli, wanaomba chakula.

Kuna mmoja alikuja kwetu(hapo kwetu ni kwamrefu) anasema ametoka ngaramtoni kwa miguu(huo umbali kwa anaepajua arusha ataelewa) ana siku tatu hajala anaomba chakula.

Wapo wengi ila huyo ndo namkumbuka vizuri. Mama anasema nisiwape eti ni wachawi sasa na mimi najiuliza mbona wanaomba chakula tu na sio hela? maana yake wanashida kweli.

Na wengine wanajitolea kufanya kazi.
 
Kule arusha kuna wamaasai wanatembea kutoka ngaramtoni, monduli, wanaomba chakula.

Kuna mmoja alikuja kwetu(hapo kwetu ni kwamrefu) anasema ametoka ngaramtoni kwa miguu(huo umbali kwa anaepajua arusha ataelewa) ana siku tatu hajala anaomba chakula.

Wapo wengi ila huyo ndo namkumbuka vizuri. Mama anasema nisiwape eti ni wachawi sasa na mimi najiuliza mbona wanaomba chakula tu na sio hela? maana yake wanashida kweli.

Na wengine wanajitolea kufanya kazi.
Mwishowe ukafanyaje?
 
Back
Top Bottom