Kiwango gani cha umaskini umekishuhudia kikakushangaza na kukusikitisha?

Kiwango gani cha umaskini umekishuhudia kikakushangaza na kukusikitisha?

Ukitembea Tanzania utaona mengi sana ,ila kiukweli IQ za wengi huenda zisiwe normal.wakati mwingine watu wapo kwenye mazingira wanaweza zalisha kabisa lakini bado wanahali ngumu.Elimu inabidi kutiliwa mkazo na watoto wafundishwe kazi ndogo ndogo walau za kulima hata mboga pindi wanapokuwa mashukeni.wazaz wengi hawawezi kumudu Barbara Milo ya watoto ,hiyo hupelekea udumavu wa akili.ni watoto tuu angalau wa mijini ndio wazazi wanamudu mahitaji,lakini vijijini Kuna Hali mbaya.siku ya mnada Kuna mtu anaenda kwenye mnada na bidhaa za 200/,kwenye Soko jaribu kufikiria kitu kama hicho
Hatuna kizazi cha uwajibikaji hio ni changamoto kubwa sana
 
Kwenye takwimu hawaangalii picha mbona unapuyanga
Niko nadhibitisha hoja yangu sasa...kwamba Kuna vijiji huko Kagera Bukoba vijijini unaweza Kuta Kijiji kizima ni msouth na maghorofa hapa na pale.....
Wew unabidi ukatae hoja hii kwanza kabla ya kwenda kwenye takwimu
 
Niko nadhibitisha hoja yangu sasa...kwamba Kuna vijiji huko Kagera Bukoba vijijini unaweza Kuta Kijiji kizima ni msouth na maghorofa hapa na pale.....
Wew unabidi ukatae hoja hii kwanza kabla ya kwenda kwenye takwimu
Takwimu hawaangaliagi picha jifunze kwanza hilo
 
niliwahi kufika singida maeneo ya kiomboi miaka ya nyuma kidogo dah
 
Njaa hakuna kitu ndani na mama na wanae watatu ukimpa sahani moja ya wali anapeleka kwa mamake na hiyo sahani moja watakula milo miwili, niliskia huruma asikwambie mtu toka siku hiyo hilo likawa chimbo langu, sadaka zangu ndo napeleka pale na najiskia amani sana, kuliko nikipeleka kwa mwamposa
 
Mkuu vipi ukianzisha chuo cha kufundisha ujasiriamali na/au sanaa ( muziki kuimba, kucheza ngoma) for free kwa vijana wa Lindi mjini na vijijini .

1. Unaweza kupata eneo kwa maana ya madarasa ya kukodi. Je gharama zake zinaweza kuwa Kiasi gani?

2. Vijana wanawaweza kupatikana? Ambao wamefeli form four na walio ishia la saba pamoja na wale walio feli form 2
Fika wilaya ya liwale lindi utapata vyote hivyo chap kwa haraka, karibu ndugu mwekezaji
 
Njaa hakuna kitu ndani na mama na wanae watatu ukimpa sahani moja ya wali anapeleka kwa mamake na hiyo sahani moja watakula milo miwili, niliskia huruma asikwambie mtu toka siku hiyo hilo likawa chimbo langu, sadaka zangu ndo napeleka pale na najiskia amani sana, kuliko nikipeleka kwa mwamposa
Utabarikiwa zaidi mkuu!
 
Hatari sana nchi hii serikali ya CCM ina laana kubwa sana, hali hiyo nafikiri ni sehem kubwa ya vijiji vya nchi hii! lakini kuna baadhi kuna unafuu vijiji kama vya Rukwa, Mbeya na Katavi hawana shida sana ya chakula.
Nahisi changamoto nyingine ni jamii kutopewa elimu vizuri ya kujiwezesha kiuchumi, kwa kuwa wana ardhi wakipewa mbinu nzuri ya kulima na maarifa zaidi, wanaweza kujitosheleza kwa chakula.
 
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.

Wale wa 🇰🇪 kenya wa internally displaced people. Wale wanaishi maisha magumu sana.
 
Fika wilaya ya liwale lindi utapata vyote hivyo chap kwa haraka, karibu ndugu mwekezaji
Liwale mjini sio? Gharama za madarasa zinaweza kuwa kiasi gani Mkuu? Je wahusika ( vijana ) wanapatikana kwa wingi?
 
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Hapo kwenye kuwagonga ndo nimeona upumbavu wenu hamna akili.
 
Masikini si masikini.
Masikini ni yule anayeona umasikini na asifanye chochote huku ana uwezo.
1. Wote labda usingeweza kuwatoa,ila hata mmoja ungeweza. Japo hakika na wewe ulitumia. Na jiulize,elfu 1000 wewe ukipewa utanunulia nini? Hata chupi kwake haipo. Huo si ukatili sasa?! Unadhani mtoto wa kike kwa hela hiyo,iwapo anapeleka kwao wakale,baada ya mtanange ule,ulifanya nini?

-Wanaoshindia maembe,uzuri ni kwamba wazazi wameenda shamba kuandaa mazingira ya kesho na keshokutwa. Vimwali vizuri,umeviona wewe,kwao wanajiona wa kawaida.

Na mengine mengi.
Sema,huu umasikini unaouongelea,chanzo ni binadamu hatupendani:
-mtu ana hela nyingi,amezunguukwa na watu wasiojiweza,ila raha yake waone anatembelea gari la bei mbaya,anakura starehe,chakula kizuri anamwagia mbwa, watoto sawa na wa kwake ndo hao wanalalwa kwa buku! Ambayo hata kilo ya unga hamna.
-Wengine wapo tayari kutengeneza siraha za kuua hao hao masikini wasio na hatia,kikubwa tu wao wajaze matumbo yao na familia zao.

Ili uone ambavyo masikini hao ndo matajiri,mia mia zao zinazokusanywa kwenye mambo mbali mbali,ndo zinatunisha vitambi vya mafisadi na wengine waliojaa roho mbaya.
Hao hao,wangewapata wa kuwaelimisha na kuwaelekeza na kuwasaidia, pengine badae na wao wangeondokana na hiyo hali unayoisema.
 
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Halafu kuna watu wanatembelea V8 ya million 600
 
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Umaskini utatutandika sana mpaka tupunguze kuzaa
 
Dar,

Baba,mama na watoto sita wanala chumba Kimoja.
 
Back
Top Bottom