Kiwango gani cha umaskini umekishuhudia kikakushangaza na kukusikitisha?

Kiwango gani cha umaskini umekishuhudia kikakushangaza na kukusikitisha?

Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
1. kuna miaka tukiwa wadogo, tulishawahi kula maharagwe kila mtu kwenye bakuli,na kulala, hapakuwa na chakula kingine. siku ingine tulikula mbegu za magimbi (yale mashina yake). kwa wale waliozaliwa miaka ya zamani, Tanzania ilishawahi kutokea famine isiyo na mfano.

2. kuna siku niliwahi kuishiwa nauli kariakoo, naishi ubungo, kuna jamaa mmoja ndugu yake kaka nikamwona sehemu nikamwambia nipe nauli bro, akanipa nikafika home, siku ile nilikuwa natembea kwa mguu kariakoo hadi ubungo.

nashukuru Mungu amebadilisha kabisa maisha yangu, imebaki historia, tena historia kubwa.
 
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.

1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.

2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu

3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.

4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.

5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu

6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Seen.
 
IMG_7967.jpg
 
Sema na watu kutoka Ulaya wakija kwenye majiji na miji yetu wanastaajabu sana umasikini tunaouishi. Tumevaa mitumba, tumefubaa na tunashidia ugali na maharage(Vyakula vya mifugo). Asubuhi tunakunywa chai ya rangi na maandazi, hakuna vitamini hata kidogo. Maziwa, nyama, mayai na asali ni anasa kubwa. Mara wanaona "tajiri" anapita akiwa kwenye mkweche wa miaka kama ishirini iliyopita😀 Umasikini ni relative sana. Ila CCM wasingekuwa walafi na wangejaliwa akili nchi hii tungekuwa tunakula na kusaza, maziwa na asali vingetiririka.
 
Binafsi nimesikitishwa na huyu mwenzetu ndege JOHN. Inashangaza kwa kweli.
Nimehuzunishwa na ukosefu wa uelewa wako, wa Umasikini. nimehshangazwa na uelewa wako wa Umasikini.


Hebu angalia hili
Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.
Yani mtu mwenye akilintimamu hawezi kuleta ujinga kama huu halafu una watu wanachukulia hili kama umasikini!

Ukila Spinach(ni majani) ya kuchemshwa-sio Umasikini. Ukila "Saladi" sio umasikini, ila ukila kisamvu ndio Umasikini?

Virutubisho vinavyopatikana kwenye kisamvu ni vikubwa sana kuliko hayo maspinachi. Huo umasikini wake upo wapi?
 
4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.
Kuna nchi kama Ufaransa wanaita "cuisses de grenouille" unaona hapo Uille! Ufaransa kula chura wakubwa ni 'delicacy' Ukila chura tandale wewe ni Masikini? Kama huko sio kupotoshwa na utindio wa akili na fikra potofu ni nini hiyo? Chura wanaladha kama kuku! Chura wamejaa virutubisho(nutrients) halafu useme akila Nyamwene, ni Umasikini. Huo umasikini wa kula chura upo wapi?
 
5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu
Kunywa maji ni Kunywa maji tu. Tena bora huku maji yana tope tu, tena unakuta tope limejaa Minerals, kuliko yale maji ya Ulaya. Mikojo na Mavi. Yani vinyesi vinachakachuliwa yanatokea maji! Kama huo sio umasikini ni nini? Maji yetu Waafrika ndio wanaokunywa Mabilionea Duniani sasa huo umasikini wa maji upo wapi? Itoshe juzi tu kuna ripoti inaonyesha maji ya huko yamejaa mapalastiki.
 
Kunywa maji ni Kunywa maji tu. Tena bora huku maji yana tope tu, tena unakuta tope limejaa Minerals, kuliko yale maji ya Ulaya. Mikojo na Mavi. Yani vinyesi vinachakachuliwa yanatokea maji! Kama huo sio umasikini ni nini? Maji yetu Waafrika ndio wanaokunywa Mabilionea Duniani sasa huo umasikini wa maji upo wapi? Itoshe juzi tu kuna ripoti inaonyesha maji ya huko yamejaa mapalastiki.
Aaah wewe Sifa yako ni ubishi nishagundua ndo maana sipotezi muda kukukatalia pumba zako..ndo maana nimeuliza swale taja viashiria vya umaskini ulivyoshuhudia mbona huvitaji kwamba sisi sio Maskini ama
 
6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Wacha kutizama tamthilia ukadhani unayoyaona ni ya Kweli.

Hao wanao lala na mbwa na paka, vinyonga, mijusi, ngedere na kadhalika huko Ulaya kumbe ni masikini. Ati kuishi na Mbuzi ni Umasikini! Toba.
Je wale wanaoishi na Nguruwe?
iu

Ona maskini huyo.
 
Namba moja kwa kijijin mbona kawaida sana😂😂😂ongezea na ndizi mbovu kwa Moshi kule.
Hawezi kukuelewa wakati fuvu lake halitambui kwa umasikini wake wa Kifikra. Ame dumaa kimafikirio.

Kikubwa kwake ni kutukana kiaina na Non-Sense. Halafu ipo mijitu isiyohoji, na kuyakubali tu maandishi ya huyu ndege JOHN. Kila mada ni aidhaa ametukana au amedhalilisha dhalilisha. Na ndio msingi wa Mada yake.
 
Halafu inakuja serikali inasema Kagera ndo mkoa unaoongoza kwa kipato kidogo..
Wakati unaweza tembelea Wilaya nzima usikute hata nyumba ya udongo wala nyasi au ni kawaida kukuta Kijiji kizima msouth tu
Huijui Kagera vizuri
 
Aaah wewe Sifa yako ni ubishi nishagundua ndo maana sipotezi muda kukukatalia pumba zako..ndo maana nimeuliza swale taja viashiria vya umaskini ulivyoshuhudia mbona huvitaji kwamba sisi sio Maskini ama
Bora niwe mbishi, kuliko kuwa mpotoshaji, au wale wanaoishi kutukana Jamii za wengine kupata Likes.

Itoshe huwezi nikatalia hoja zangu kwa sababu unajua kuna ukweli- mie huwa siyachukui tu maneno yako kikasuku kwa sababu yamejaa uongo na ni potofu.

Hivyo Viashiria vyako havipo! Hakuna chichote kile chenye ukweli na ambachonunaweza kuungaanisha mojankwa moja kuwa ndio Umasikini. Nimekupinga kwa hoja. Tetea hoja zako.
 
Back
Top Bottom