CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Mimi kuna Maisha hapo Nimeyaishi..
Tatizo linakuja, Ni maskini wachache Sana wanajionea huruma ambayo wewe Mpitaji Unawaonea...
Mtu anaishi maisha ya Ajabu sana lakini ni kama karidhika.
Umaskini unaanzia kichwani.
Wanaolala pembeni ya Barabara mfano kariakoo kwenye maboksi na mbu wote hawa, tena kipindi kama kile cha mvua
Hamuwaoni?
Tatizo linakuja, Ni maskini wachache Sana wanajionea huruma ambayo wewe Mpitaji Unawaonea...
Mtu anaishi maisha ya Ajabu sana lakini ni kama karidhika.
Umaskini unaanzia kichwani.
Wanaolala pembeni ya Barabara mfano kariakoo kwenye maboksi na mbu wote hawa, tena kipindi kama kile cha mvua
Hamuwaoni?