Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Hatuna kizazi cha uwajibikaji hio ni changamoto kubwa sanaUkitembea Tanzania utaona mengi sana ,ila kiukweli IQ za wengi huenda zisiwe normal.wakati mwingine watu wapo kwenye mazingira wanaweza zalisha kabisa lakini bado wanahali ngumu.Elimu inabidi kutiliwa mkazo na watoto wafundishwe kazi ndogo ndogo walau za kulima hata mboga pindi wanapokuwa mashukeni.wazaz wengi hawawezi kumudu Barbara Milo ya watoto ,hiyo hupelekea udumavu wa akili.ni watoto tuu angalau wa mijini ndio wazazi wanamudu mahitaji,lakini vijijini Kuna Hali mbaya.siku ya mnada Kuna mtu anaenda kwenye mnada na bidhaa za 200/,kwenye Soko jaribu kufikiria kitu kama hicho
Kwenye takwimu hawaangalii picha mbona unapuyanga
Niko nadhibitisha hoja yangu sasa...kwamba Kuna vijiji huko Kagera Bukoba vijijini unaweza Kuta Kijiji kizima ni msouth na maghorofa hapa na pale.....Kwenye takwimu hawaangalii picha mbona unapuyanga
Takwimu hawaangaliagi picha jifunze kwanza hiloNiko nadhibitisha hoja yangu sasa...kwamba Kuna vijiji huko Kagera Bukoba vijijini unaweza Kuta Kijiji kizima ni msouth na maghorofa hapa na pale.....
Wew unabidi ukatae hoja hii kwanza kabla ya kwenda kwenye takwimu
Mimi nadhani nikuache maana huna hoja hapa...Wala hujui unabishana Nini...mara unitukane, unikebehi , unaongea kwa mkato...man up bro toa hojaTakwimu hawaangaliagi picha jifunze kwanza hilo
Takwimu hawaangaliagi picha jifunze kwa
OK ila nimeishi huko pia kipndi fulani so napajua vizuri sana🙏
Fika wilaya ya liwale lindi utapata vyote hivyo chap kwa haraka, karibu ndugu mwekezajiMkuu vipi ukianzisha chuo cha kufundisha ujasiriamali na/au sanaa ( muziki kuimba, kucheza ngoma) for free kwa vijana wa Lindi mjini na vijijini .
1. Unaweza kupata eneo kwa maana ya madarasa ya kukodi. Je gharama zake zinaweza kuwa Kiasi gani?
2. Vijana wanawaweza kupatikana? Ambao wamefeli form four na walio ishia la saba pamoja na wale walio feli form 2
Mbaya sana sana, haufai kuwepo, shida ni dunia haina balance hata kdg!🥺🥺🥺🥺 Umaskini mbaya sana.
Utabarikiwa zaidi mkuu!Njaa hakuna kitu ndani na mama na wanae watatu ukimpa sahani moja ya wali anapeleka kwa mamake na hiyo sahani moja watakula milo miwili, niliskia huruma asikwambie mtu toka siku hiyo hilo likawa chimbo langu, sadaka zangu ndo napeleka pale na najiskia amani sana, kuliko nikipeleka kwa mwamposa
Nahisi changamoto nyingine ni jamii kutopewa elimu vizuri ya kujiwezesha kiuchumi, kwa kuwa wana ardhi wakipewa mbinu nzuri ya kulima na maarifa zaidi, wanaweza kujitosheleza kwa chakula.Hatari sana nchi hii serikali ya CCM ina laana kubwa sana, hali hiyo nafikiri ni sehem kubwa ya vijiji vya nchi hii! lakini kuna baadhi kuna unafuu vijiji kama vya Rukwa, Mbeya na Katavi hawana shida sana ya chakula.
Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.
1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.
2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu
3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.
4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.
5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu
6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Liwale mjini sio? Gharama za madarasa zinaweza kuwa kiasi gani Mkuu? Je wahusika ( vijana ) wanapatikana kwa wingi?Fika wilaya ya liwale lindi utapata vyote hivyo chap kwa haraka, karibu ndugu mwekezaji
Omba za ccm zipo utapewa bure, vijana kama woteLiwale mjini sio? Gharama za madarasa zinaweza kuwa kiasi gani Mkuu? Je wahusika ( vijana ) wanapatikana kwa wingi?
Hapo kwenye kuwagonga ndo nimeona upumbavu wenu hamna akili.Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.
1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.
2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu
3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.
4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.
5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu
6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Halafu kuna watu wanatembelea V8 ya million 600Aisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.
1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.
2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu
3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.
4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.
5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu
6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.
Umaskini utatutandika sana mpaka tupunguze kuzaaAisee kweli tunaishi kwenye umaskini wa kutupwa mikoa ya kusini huku vijijini kumezidi sana ninapopita kazini nakutana na hali za kutisha.
1. Watoto wanakula maembe wanashindia kama chakula sio kama matunda. Wazazi wapo shamba huko wamewaacha watoto nyumbani mpaka na vimwali wazuri unakutana nao shida vibaya mno.
2. Mademu kugongwa kwa buku.tulienda site sasa pale tumepiga camp baadae mademu wakawa wanakuja wenzangu wanawachukua wanagonga wanawapa 1000-3000 na mademu wanakubali kabisa wanapishana vibaya mno. Aisee dhiki isikie tu
3. Watu kula kisamvu tupu yaani kisamvu kinachumwa kinachemshwa kinaliwa vilevile kilivyo bila hata ugali maana unga hakuna msimu huu ndo kwanza wanalima.
4. Watu kula takataka zote kama wachina aisee wamakua masasi pamoja na uchu wa kutafuna njaa ila pia umaskini unachangia watu wanakula kenge, panya, chura wakubwa na wadudu sio poa.
5. Watu kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi aisee watu wana shida ndugu zangu
6. Kuishi na mifugo kwenye kijumba, mtu anaishi na mbuzi kwenye chumba kimoja na kuku aisee kama unakaa mjini na unawasha taa na kuangalia TV tambua hauna hali mbaya.