Kiwanja cha Jay Dee kupigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la mkopo

Kiwanja cha Jay Dee kupigwa mnada baada ya kushindwa kulipa deni la mkopo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Komandoooooo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.


Teh teh teh mbona hujamjibu kakuuliza mnada umeendaje?
Kufurahi mtu akianguka ni ujuha wa kupitiliza na roho ya kwanini? Usikute box hizo mkuu kichwani zinaleta madhara
 
images

dume zima uliyekimbia nchi,
Nchi unayotambua changamoto tele zinazoikabili, unafurahia kuanguka kwa mwenzio tena mwanamke, God will punish u;
big old man with hearttless and headless!!
 
dume zima uliyekimbia nchi,

We jike zima, thibitisha kuwa mimi nimekimbia nchi.

Nchi unayotambua changamoto tele zinazoikabili,

Nchi gani ninayoitambua?

unafurahia kuanguka kwa mwenzio tena mwanamke, God will punish u;

Nani huyo aliyeanguka kwani? And https://jamii.app/JFUserGuide god, I don't give a damn about her.

big old man with hearttless and headless!!

Little old woman with heartless and headless
images
 
Kuuzwa kwa kiwanja ni pigo kubwa kwa gadna,nadhani wanasheria wa jide walimshauri vizuri
 
duh kwa hiyo jide amekubali kua historia kabla ya muda wake pole kwake
 
Hata mimi nashangaa, wanaomchukia jide ni wachawi sio bure, hapo alipofikia jide hata baadhi ya wanaume wameshindwa kufikia, sasa mtu akianguka kidogo mnaanza kumcheka huu sio uchawi? MImi jide kwangu bado ni fighter, aendelee kupambana acha watu waendelee kuhesabu baraka zake

pokea like binamuuu
 
dume zima uliyekimbia nchi,
Nchi unayotambua changamoto tele zinazoikabili, unafurahia kuanguka kwa mwenzio tena mwanamke, God will punish u;
big old man with hearttless and headless!!

Mwanaume anayechukia maendeleo ya mwanamke ana matatizo sio bure, dada wa watu anajitahidi na maisha yake kaanguka kidogo tu wanamcheka, kuna vitu vya kumsengenya mtu kama kufumaniwa au umalaya ila sio kwa mambo ya maendeleo, maana wengine ata hvyo viwanja hawana
 
Inashangaza sana aiseeee..!!

Vidume vizima na vindevu vyao vinafurahia kushuka kwa Lafy Jd.! Huu kama si upunguani ni nini? Mliomba penzi akawadiss? Au mmechangia nini kwa mafanikio yake? Kwanini mfurahie kushuka kwa mtu? Kushuka kwenyewe ni kuuzwa kwa kiwanja ndiko kunawakenusha meno hapa? Kuna Mijitu humu ndani ni mijuha sana..!! Hivi mtu akifirisika wewe unapata nini? Maana kama akipata mafanikio waweza kuomba msaada, sasa akifirisika wewe unashangilia, faida gani unayoipata.....!! Mwacheni Komando na maisha yake jamani, inawahusu nini nyie vidume na midushee inayosimama? Au imelala..!!

Jiwe Kizani ukisikaa mayooo..Limekupata!

BACK TANGANYIKA

Maisha ya jide yanawatoa roho wengi, na bado jide sio type yao, mbwa kabisa hao
 
halafu nasikia kwenye mnada watu walio kwenda hakukuwa na na mnunuzi wala muendesha mnada...nahisi hii issue ina mambo mengi kama ni kukomoana basi ni wazi hata Nyumba itauzwa na Jide ndivyo anavyo taka na amesha hamua hivyo!Na
Mpango wake kila kitu kiuzwe walicho chuma na G..na alicha kusudi kutorejesha mkopo na akafunga biashara ili wafike hapa
Hila huyu dada ana roho ya paka kabisa duu

Nyumba gani? Ni kiwanja aiseh acheni kuongeza chumvi duh
 
Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Komandoooooo

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

Wale wapenzi wake wako wapi waje waokoe jahaza?

Pwa! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

Team Anakonda:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:.

defenitly woman's words to another woman,
very happy over her fellows temptation she is passing through!!
Vp mlimgombania bwana?,
now u see ur about to snatch him, go!!
Hela ukose , upendo ukose, utu ukose, hata akili ndogo tu?
Box hata uzeeke ur nothing bt ....
 
Mbona imekuwa haraka sana baada Ndoa kwisha na habash...???
 
Nyumba gani? Ni kiwanja aiseh acheni kuongeza chumvi duh

Mkuu mbona tangazo lenyewe linabainusha wazi kuwa ni nyumba!ukiangalia ilo tangazo la mnada baada ya title,sehemu ya introduction apo utakuta imeandikwa "dhamana/nyumba"...neno plot kwny ilo jedwali lickupoteze coz kisheria nyumba zoooote huwa zinahesabka kuwa ni sehemu ya ardhi..so kama itakuwa imejengwa ktk kiwanja kilishokwisha pimwa ndo tutaiterm kama plot no flani...kwa iyo inawezekana ikawa ni nyumba kweli au ata kiwanja kitupu coz ktk sheria zote ni ardhi tu.
 
Back
Top Bottom