Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Walilalamikiwa na wananchi wanapiga kelele kuna barua nliionaga WhatsApp group
Me mwnyw nashangaakwa uwekezaji ule pale ameonewa! kwani alijenga waliotoa kibali hawakujua ni makazi ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu wamejaa tele, ndio ikawa mara yangu ya mwisho, vidada vya uswazi vimejaa wanatega hela ya vicoba
Mbona umecoment, na wewe unaenda kujirusha kitambaa cheupe?Nasoma comments tyiuuuuh.
Kujirusha asubuh hii boss😂😂Mbona umecoment, na wewe unaenda kujirusha kitambaa cheupe?
Nimemuuliza kama anapendelea kwenda kitambaa cheupe, ndio maana ya swali langu, lakin inawezekana akawa anaenda hata asubuhi [emoji23][emoji23]Kujirusha asubuh hii boss[emoji23][emoji23]
Hata sipajui ni wapi yaan,Mbona umecoment, na wewe unaenda kujirusha kitambaa cheupe?
Sijawahi na sitawahi kwenda sehemu yeyote ya kujirusha, sina interest na mambo hayo.Nimemuuliza kama anapendelea kwenda kitambaa cheupe, ndio maana ya swali langu, lakin inawezekana akawa anaenda hata asubuhi [emoji23][emoji23]
Alcohol hutumii unafata nini?🤣 Nywea juis zako ghetto nyie ndio wapeleka umbea baadae mtaani😀😀😀Wakuu njooni Micasa ubungo kuna live band💥
Alcohol hutumii unafata nini?[emoji1787] Nywea juis zako ghetto nyie ndio wapeleka umbea baadae mtaani[emoji3][emoji3][emoji3]
Sijawahi na sitawahi kwenda sehemu yeyote ya kujirusha, sina interest na mambo hayo.
Vipi wee[emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji15][emoji15][emoji15]Vipi wee
Dah mkuu😂😂😂 mi nafata live band na Juice huo umbeya walaa😂Alcohol hutumii unafata nini?🤣 Nywea juis zako ghetto nyie ndio wapeleka umbea baadae mtaani😀😀😀
Unawatunzaga lkn?Dah mkuu😂😂😂 mi nafata live band na Juice huo umbeya walaa😂
Yes sometimesmkuu, waliniimbia hadi siku yangu ya birthday dah😍😍 ilikua bomba sanaaUnawatunzaga lkn?
Ukajihis malaika🤗Yes sometimesmkuu, waliniimbia hadi siku yangu ya birthday dah😍😍 ilikua bomba sanaa
😂😂acha tu mkuu! Nilihisi nipo HeavenUkajihis malaika🤗
Kwa raha zako shida za wengine😂😂acha tu mkuu! Nilihisi nipo Heaven