Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Castle lounge kibo complex ubaridi Kama mufindi. [emoji23]
 
Maison ipo wapi? Bei za Bia ni sh ngapi?
Maison iko Seacliff , bei ya bia local ni 5000 imported elfu 8

Vinywaji vingine bei ni kama hizi

Screenshot_20210612-180532_Drive.jpg


20210612_180645.jpg


na watu wanatumbua kama kawaida
 
Viwanja vingi vilikufa enzi za Mwendazake.

Labda Tips au Barcode Sinza
 
Nimewahi ibiwa Samsung Galaxy S10 MPYA qmmk
Pole, pale kuna network kubwa sana ya wizi kuanzia malaya, walinzi na wale madogo wanaokaa njia ya kuelekea toilet.
Siku ukiingia toilet utakuta lines kibao zimetupwa chini, watoto wa uswazi wamepaharibu sana
 
Back
Top Bottom