Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Hujatembea wewe, nenda El Patron Changanyikeni hapo! Mahala tulivu sana na mazingira makali mziki wake siongei mengi! Hamna Bar ina mziki ulitoulia kama ile sijaona bado...
Shuuuh! Kumbe unapapata El Patron. Muziki yake umetulia na unaweza kuongea vizuri na ulionao bila kelele..halafu mandhari safi.
Nilikosea njia mara nimeona kitu kushoto Kwangu 😂
 
Kwa uzoefu wako hapo nikitaka kupata totoz kwa ajili ya threesome na foursome inaweza nitoboa kilo ngapi?
viwanja vingi vya masaki huwa wanaenda watu wenye class flani ivi , sisemei ni watu wenye hela sanaa hapana ila watu ambao wanataka kula good time tu ,kwaiyo hata madem wengi ni wale ambao hawana 'njaa' na hawaendi kwa lengo la 'kuwinda' sio kama madem wa viwanja vya tabata, sinza, kino ..kwaiyo kuopoa mtoto ni wewe tu na maneno yako labda na mtoto/watoto wenyewe wakuelewe
 
viwanja vingi vya masaki huwa wanaenda watu wenye class flani ivi , sisemei ni watu wenye hela sanaa hapana ila watu ambao wanataka kula good time tu ,kwaiyo hata madem wengi ni wale ambao hawana 'njaa' na hawaendi kwa lengo la 'kuwinda' sio kama madem wa viwanja vya tabata, sinza, kino ..kwaiyo kuopoa mtoto ni wewe tu na maneno yako labda na mtoto/watoto wenyewe wakuelewe
Kule asilimia 80 ni wadangajiila sasa jinsi kudanga ndio kunatofautiana na huko unakosema
 
Kule asilimia 80 ni wadangajiila sasa jinsi kudanga ndio kunatofautiana na huko unakosema
Hmm sijajua labda ila mimi sijawai kuopoa wale madem type ya mkiamka asubuhi anakuambia nipe changu ..hasa Maison wengi ni watoto wa kiarabu na ngozi nyeupe na wa kibongo ni wale wa English nyingii
 
Hmm sijajua labda ila mimi sijawai kuopoa wale madem type ya mkiamka asubuhi anakuambia nipe changu ..hasa Maison wengi ni watoto wa kiarabu na ngozi nyeupe na wa kibongo ni wale wa English nyingii
Wana tofauti na hawa wa kawaida wa sinza, kino na tabata anakuvuta akikupiga anapiga parefu
 
Hmm sijajua labda ila mimi sijawai kuopoa wale madem type ya mkiamka asubuhi anakuambia nipe changu ..hasa Maison wengi ni watoto wa kiarabu na ngozi nyeupe na wa kibongo ni wale wa English nyingii
Maison ipo wapi? Bei za Bia ni sh ngapi?
 
Back
Top Bottom