Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

6k imported 4k localyani pananiuzi mimi, napitaga hapo na wateja wa tips wenyewe wanapeenda mbananoHavoc masaki
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Mleta uzi anataka bia isizidi buku 3 sasa wewe unamtajia havoc si bora aende holiday in posta
 
dar bana viwanja vinakuja vipya vinawika alafu vinapotea .. ila Elements miaka yote iko kwenye peak

Nenda hapo mzee ukashangae shangae totoz classic

Ukitoka hapo pitia Maison ukakutane na madem wakaliii mpaka unajiuliza hawa mbona mtaani hatuwaoni [emoji3]
Hivi bado wanalipishana kiingilio?
 
Habar wakuuuuu,

Poleni na mahangaiko ya wiki ,Wakuu leo ni weekend tupeane location ya kiwanja chenye watoto classic na beer bei elekezi jijini Dar es salaam . mfano TPS BEI SIO ELEKEZI BEER LOCAL 4000 .

Karibuni wakuuu tupeane location.
Kipindi niko kwenye peak ya ujana nilishaendaga mitaa ya msasani kutafuta starehe tofauti nilichokutana nacho nadhani ilikuwa kama nimeingia kosovo maana mlangoni mnapewa helmet kwa maana chochote kinaweza tokea ndani watu wanarusha chupa balaa..


Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
"Watu wa mikoani mpo hampo....
Mko wapi mbona siwaoni"

images_1.jpeg
 
Kwa viwanja classic
Samak samak ya masaki hawa jamaa kwa suala la mziki mnene na quality sidhan kama kuna anaemfikia
Hujatembea wewe, nenda El Patron Changanyikeni hapo! Mahala tulivu sana na mazingira makali mziki wake siongei mengi! Hamna Bar ina mziki ulitoulia kama ile sijaona bado...
 
Back
Top Bottom