Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Mpaka sasa jiji la Dar bado enzi za Billz na Mambo club hazija wahi kuludi zile ndio zilikuwa club kweli kweli
Sasa unafananisha enzi ambapo club zilikuwa mbili tu mji mzima? Sahizi maeneo ni mengi kila mahali na vibe lake! Ukienda Kimara,Tabata, Sinza, Mikocheni, Masaki,Tegeta,Posta,Mbezi, Changanyikeni, Goba kote viwanja vipo tu ni pesa yako!

Enzi ile ilikuwa wote mnalundikana Maisha club ama bills yani watu maarufu wote pamoja na wasanii! Sahizi hali ni tofauti mzee tena mambo ni mazuri zaidi sbabu unajichagulia pa kwenda kulingana na location yako.
 
Sasa unafananisha enzi ambapo club zilikuwa mbili tu mji mzima? Sahizi maeneo ni mengi kila mahali na vibe lake! Ukienda Kimara,Tabata, Sinza, Mikocheni, Masaki,Tegeta,Posta,Mbezi, Changanyikeni, Goba kote viwanja vipo tu ni pesa yako!

Enzi ile ilikuwa wote mnalundikana Maisha club ama bills yani watu maarufu wote pamoja na wasanii! Sahizi hali ni tofauti mzee tena mambo ni mazuri zaidi sbabu unajichagulia pa kwenda kulingana na location yako.

Mkuu Usisahau kwasasa hata idadi ya Wakazi wa jiji la Dar wame ongezeka Sana, je Una weza kutaja sehemu yoyote kwa sasa yenye shangwe kama ziko to kuwa Mambo Club na Billz.
 
Ukifika tips in pm tule bia...uwanja wangu wa nyumbani huo...i just like the vibe
Siku nikipotea njia kutokea CTFM upepo ukanipeleka tipusi ntakwambia tunywe Corona[emoji28] ila sio uwanja wangu kabisa huo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Mleta uzi anataka bia isizidi buku 3 sasa wewe unamtajia havoc si bora aende holiday in posta
naongea kuhusu ef4 si afadhali anywe mbege
 
Kitambaa cheupe[emoji1542] Tabata Liwiti
High burry [emoji1542]Tabata Mawenzi
Ibiza [emoji1542]Tabata Savanna
Toroka uje[emoji1542] Tabata Chama
The great [emoji1542]Tabata Balakuda
Kitambaa cheupe ya[emoji1542] Tabata Sanene
Matako Bar [emoji1542]Tabata Kona
Last Call [emoji1542]Tabata Jiandae
Forty Forty [emoji1542]Tabata Bima
KB pub [emoji1542] Tabata Bima
Qwetu Pazuri [emoji1542]Tabata Sanene
Mikunjo Hot [emoji1542] Tabata Shiba
Sisi kwa sisi [emoji1542]Tabata kimanga

NB : Ukimwi bado upo kwahiyo tumia kinga kote huko
 
Kitambaa cheupe[emoji1542] Tabata Liwiti
High burry [emoji1542]Tabata Mawenzi
Ibiza [emoji1542]Tabata Savanna
Toroka uje[emoji1542] Tabata Chama
The great [emoji1542]Tabata Balakuda
Kitambaa cheupe ya[emoji1542] Tabata Sanene
Matako Bar [emoji1542]Tabata Kona
Last Call [emoji1542]Tabata Jiandae
Forty Forty [emoji1542]Tabata Bima
KB pub [emoji1542] Tabata Bima
Qwetu Pazuri [emoji1542]Tabata Sanene
Mikunjo Hot [emoji1542] Tabata Shiba
Sisi kwa sisi [emoji1542]Tabata kimanga

NB : Ukimwi bado upo kwahiyo tumia kinga kote huko
Hhko tabata ina maana wao ndio wazee wa bata tuu? Basi wapaite wabata baadala ya tabata
 
dar bana viwanja vinakuja vipya vinawika alafu vinapotea .. ila Elements miaka yote iko kwenye peak

Nenda hapo mzee ukashangae shangae totoz classic

Ukitoka hapo pitia Maison ukakutane na madem wakaliii mpaka unajiuliza hawa mbona mtaani hatuwaoni 😀
Kwa uzoefu wako hapo nikitaka kupata totoz kwa ajili ya threesome na foursome inaweza nitoboa kilo ngapi?
 
Kitambaa cheupe[emoji1542] Tabata Liwiti
High burry [emoji1542]Tabata Mawenzi
Ibiza [emoji1542]Tabata Savanna
Toroka uje[emoji1542] Tabata Chama
The great [emoji1542]Tabata Balakuda
Kitambaa cheupe ya[emoji1542] Tabata Sanene
Matako Bar [emoji1542]Tabata Kona
Last Call [emoji1542]Tabata Jiandae
Forty Forty [emoji1542]Tabata Bima
KB pub [emoji1542] Tabata Bima
Qwetu Pazuri [emoji1542]Tabata Sanene
Mikunjo Hot [emoji1542] Tabata Shiba
Sisi kwa sisi [emoji1542]Tabata kimanga

NB : Ukimwi bado upo kwahiyo tumia kinga kote huko
Tabata noma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom