Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
wtf... Thread ya Kijinga i thought una jambo jipya muhimu umebaini kumbe upuuzi tu kama mlevi wa chibuku... Watanzania acheni kuongea pumba hadharani ulitakiwa ukatoe maoni haya kwenye thread zilizopita na sio kuanzisha thread as if Umebaini kitu kipya....
FICHA UPUMBAVU WAKO.
Bora huyu unaemuita kuwa anashuhudia uongo kuliko wewe kiberiti unayetumika na wenye mikono michafu kuwasha moto kwenye nyasi mbichi.Ongea utakacho kwani unashuhudia uongo tu. Hivyo hakuna heshima atakupa mtu mwenye akili nzuri tafuta mashabiki wapumbavu watafurahia ulichoandika... kama hujui nchi inavyoendeshwa mnazania ni mchezo mchezo tu... mtasononeka hadi mpate midonda ya tumbo... Usidhanie siku utaamika ukute nchi imekuwa safi huko kwako ni kuchafu pekee...
jambo usilolijua ni bora kunyamaza kuliko ushuhuda wa uongo hakika utapotea.
By the way tumeshachoka na huu wimbo wa lisu ...alijitakia mwenyewkamuadithie mkeo habari za kichawi... albadir inasomwa kwa matakwa ya aliyeumizwa sio mamburunyingi nyie na msomaji anatakiwa awe msafi sasa bahati mbaya Watanzania wote ni wachafu kitabia so ni day dream... Kama Lisu kapona kifo basi hawezi ombea waliomdhuru na wao wadhurike... labda Wapambe tu ndio maana wanaitwa Wapambe Nuksi
President lissu kaombewa na dunia sio watanzania tu naamini dunia nzima sio wachafu na watanzania woote sio wachafu hakika upinzani umeshinda this is a win ....kamuadithie mkeo habari za kichawi... albadir inasomwa kwa matakwa ya aliyeumizwa sio mamburunyingi nyie na msomaji anatakiwa awe msafi sasa bahati mbaya Watanzania wote ni wachafu kitabia so ni day dream... Kama Lisu kapona kifo basi hawezi ombea waliomdhuru na wao wadhurike... labda Wapambe tu ndio maana wanaitwa Wapambe Nuksi
Mkuu achana na huyu mtu atakupotezea muda..Mpumbavu ni wewe! Kwani huoni kuwa watu wameanza kuweweseka? Kule kutapatapa ni mwanzo wa utimilifu wa duwaa ya albadir iliyo somwa juzijuzi.
Mkuu mbona Povu nyingi au wewe ndio Muhisikawtf... Thread ya Kijinga i thought una jambo jipya muhimu umebaini kumbe upuuzi tu kama mlevi wa chibuku... Watanzania acheni kuongea pumba hadharani ulitakiwa ukatoe maoni haya kwenye thread zilizopita na sio kuanzisha thread as if Umebaini kitu kipya....
FICHA UPUMBAVU WAKO.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na bado mtafarijiana sana lakini mwanzo wa mwisho wa walio panga kumuua Lissu umeshaonekana! Mara paap kiongozi wa wasio julikana kafa! Tutakula na kunywa mpaka asubuhi bill anatulipia Mungu.
Alijitakia mwenyewe!!!!! Kivipi ndugu????By the way tumeshachoka na huu wimbo wa lisu ...alijitakia mwenyew
Ndio umeandika nini sasa!!?Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?
Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?
Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!
Kisanduku changu kimepotea!AnaKonda squad ndio iko vibaya kabisa
Kisanduku changu cha mafaili kimepoteaBashite alianza kufeli kuanzia darasa la saba.
Form for alifeli.
Form six hapajui ajawahi kukanyaga.
Kuvamia kituo cha habari kafeli.
Vita vya shisha kafeli.
Vita vya madawa ya kulevya kafeli.
Jaribio la kumbambikizia Gwajima mtoto kafeli.
Kumteka Roma kafeli.
Jamani Upande wa Lisu ndio sasa kafeli zaidi tena zaidi.
Ushauri:
Omwana wa malanja nikikushauri utanisikia?
Hv hizi clip CHADEMA wakizitumia kwenye kampeni serikali itakubali? Au tunaenda kuona serikalk ikipiga marufuku matumizi ya hotuba za maraisi wetu wapendwa?