Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

wtf... Thread ya Kijinga i thought una jambo jipya muhimu umebaini kumbe upuuzi tu kama mlevi wa chibuku... Watanzania acheni kuongea pumba hadharani ulitakiwa ukatoe maoni haya kwenye thread zilizopita na sio kuanzisha thread as if Umebaini kitu kipya....

FICHA UPUMBAVU WAKO.

Hali ni mbaya.
 
Kiwewe ni kikubwa, ni nadra sana CDF kuitisha press conference hadi kuwe na tishio kubwa kwa nchi, katika maisha yangu sijawahi kuona Jaji Mkuu CJ akiitisha press kubishana na wananchi majukwaani masuala ya mahakamani kwanza yeye sio prosecutor wala DCI wala DPP, matukio haya yanaonyesha taharuki waliyonayo watawala kwa sasa.
 
Ongea utakacho kwani unashuhudia uongo tu. Hivyo hakuna heshima atakupa mtu mwenye akili nzuri tafuta mashabiki wapumbavu watafurahia ulichoandika... kama hujui nchi inavyoendeshwa mnazania ni mchezo mchezo tu... mtasononeka hadi mpate midonda ya tumbo... Usidhanie siku utaamika ukute nchi imekuwa safi huko kwako ni kuchafu pekee...

jambo usilolijua ni bora kunyamaza kuliko ushuhuda wa uongo hakika utapotea.
Bora huyu unaemuita kuwa anashuhudia uongo kuliko wewe kiberiti unayetumika na wenye mikono michafu kuwasha moto kwenye nyasi mbichi.
 
Picha niliyoipata ni ukuu wa Mungu mbele ya shetani umejidhirisha kwa kupitia jaribio hili. Mwanadamu si kitu mbele ya Mungu
 
kamuadithie mkeo habari za kichawi... albadir inasomwa kwa matakwa ya aliyeumizwa sio mamburunyingi nyie na msomaji anatakiwa awe msafi sasa bahati mbaya Watanzania wote ni wachafu kitabia so ni day dream... Kama Lisu kapona kifo basi hawezi ombea waliomdhuru na wao wadhurike... labda Wapambe tu ndio maana wanaitwa Wapambe Nuksi
By the way tumeshachoka na huu wimbo wa lisu ...alijitakia mwenyew
 
Kuna wanaharakati waliuliwa na nchi haikubaki ikaenda mbele
 
kamuadithie mkeo habari za kichawi... albadir inasomwa kwa matakwa ya aliyeumizwa sio mamburunyingi nyie na msomaji anatakiwa awe msafi sasa bahati mbaya Watanzania wote ni wachafu kitabia so ni day dream... Kama Lisu kapona kifo basi hawezi ombea waliomdhuru na wao wadhurike... labda Wapambe tu ndio maana wanaitwa Wapambe Nuksi
President lissu kaombewa na dunia sio watanzania tu naamini dunia nzima sio wachafu na watanzania woote sio wachafu hakika upinzani umeshinda this is a win ....
 
Ngoja kwanza hebu twende taratibu !umesema wahusika wanatapata umewafahamu vipi na akina nani hao?
 
Mpumbavu ni wewe! Kwani huoni kuwa watu wameanza kuweweseka? Kule kutapatapa ni mwanzo wa utimilifu wa duwaa ya albadir iliyo somwa juzijuzi.
Mkuu achana na huyu mtu atakupotezea muda..
Hali ishakuwa ngumu
 
wtf... Thread ya Kijinga i thought una jambo jipya muhimu umebaini kumbe upuuzi tu kama mlevi wa chibuku... Watanzania acheni kuongea pumba hadharani ulitakiwa ukatoe maoni haya kwenye thread zilizopita na sio kuanzisha thread as if Umebaini kitu kipya....

FICHA UPUMBAVU WAKO.
Mkuu mbona Povu nyingi au wewe ndio Muhisika
 
Na bado mtafarijiana sana lakini mwanzo wa mwisho wa walio panga kumuua Lissu umeshaonekana! Mara paap kiongozi wa wasio julikana kafa! Tutakula na kunywa mpaka asubuhi bill anatulipia Mungu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Machadema bana yanapenda kujifurahisha kweli. Hicho unachokiita kiwewe kizito kipo wapi? Unafikiri hili tukio la Kibaraka Lissu litabadili fikra za wazalendo kwenye utawala huu? Hakuna kitachobadilika na kwa kuwa hamuhitaji msaada kutoka upande wa pili basi muendelee kumuuguza mgonjwa wenu na sisi tutaendelea kulitumikia taifa kama kawaida haturudi nyuma na vibaraka wote lazima wanyooshwe!
 
Kumbe hawakuwasilisha michango ya Wabunge wakidhani hawezi kupona?

Mungu mkubwa hadi leo Lissu anaishi!
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!
Ndio umeandika nini sasa!!?
 
Bashite alianza kufeli kuanzia darasa la saba.
Form for alifeli.
Form six hapajui ajawahi kukanyaga.
Kuvamia kituo cha habari kafeli.
Vita vya shisha kafeli.
Vita vya madawa ya kulevya kafeli.
Jaribio la kumbambikizia Gwajima mtoto kafeli.
Kumteka Roma kafeli.
Jamani Upande wa Lisu ndio sasa kafeli zaidi tena zaidi.
Ushauri:
Omwana wa malanja nikikushauri utanisikia?
Kisanduku changu cha mafaili kimepotea
 
21433931_1969420299971796_3945963935768772608_n-jpg.593820



Hv hizi clip CHADEMA wakizitumia kwenye kampeni serikali itakubali? Au tunaenda kuona serikalk ikipiga marufuku matumizi ya hotuba za maraisi wetu wapendwa?
 
Back
Top Bottom