Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

wangoje lissu aje hapa wata tueleza ni kipi kilichowapekea kutaka kutuulia jemedari wetu na kamwe kwa mapenzi yao watakufa wao lissu ataishi wakishuhudia kwa macho yao ya kinafki
 
Hakika wewe umegundua jambo !!! Jaji anaongea mambo yasiyomuhusu kabisa !!! Uchunguzi wa nje au ndani anahusikaje ?? Na kwanini anaogopa uchunguzi wa nje kwa kiasi cha kujiaibisha kuingilia,mambo ya kiusalama ? Siayasubiri yamfikie,ktk meza yake kwa kuhitajika taaluma yake ya sheria???? Na kwanini baada ya jaribio la kumuua Lisu kubuma ?.kwakweli kuna jambo kubwa sana nala kuitia nchi Aibu linalokumbatiwa na wakuu wa nchi lisilipuke.kwanini sasa ?Mara mwanajeshi na yeye anapigwa risasi tu eti kwakua Lisu kapigwa rizasi !!! Na waliompiga wasikamatwe ili iwe suluhu ya issue ya Lisu !!!.kweli mjeshi hatakama ni mstaafu afanyiwe hivyo,hili jeshi la nchi hii lingelala tu kuona mwenzao anadhalilishwa eti na wasiojulikana!!!!.sio nchi hii ingechimbika?? Alafu anainuka na mjeshi kutete kibiti kwa gharama ya maisha ya Lisu !! Jamani,wakubwa na viongozi wa nchi hii,chonde,msitudharau kiasi hiki !!. Tuna akili,na tuna connect dorts za kauli toka kwa magufuli,kumkamata Lisu kila leo,nakupigwa risasi kwa Lisu.magufuli kinywa chake kimekua kiki thibitisha uadui na Lisu,upinzani kwa ujumla wake,na yeyote anayemkosoa.hivyo hizi yowe za viongozi,kwa sasa picha yake inaonyesha wazi bidii za makusudi kumnusuru magufuli tu,na sio vinginevyo.najeshi kuingizwa,sasa tujue magufuli anajiandalia kutawala milele,kwakua tutatumiwa jeshi kwenye uchaguzi kama ilivyokua Zanzibar !! Mungu wewe ndie mwanajeshi mkuu dunia yote.Tuponye na kila mpango ovu wowote wa ccm dhidi yetu.epusha raia,wapinzani,watoto,wanawake walemavu na wazee,ambayo ni makundi dhaifu kuuwawa kirahisi,na vijana weto ,kwamatumizi mabaya ya majeshi ya nchi yatakayofanywa na magufuli,Nakuamini sana na kukutegemea kwa hili na mengine yote,Amen.
Upo vizuri mkuu umechambua vyema hata mimi nimeanza kuelewa yote hii inayofanyanywa na hawa wakubwa kumbe ni katika harakati za kumuokoa sizonje na hii kadhia..lakini haitowezena kila mtu mwenye akili timamu anaona na anaelewa kinachoendelea
 
21433931_1969420299971796_3945963935768772608_n-jpg.593820



Kwikwi imemkamatia pale Arusha inataka kumtoa roho.
Wanahaha kila kona ila kwa hakika hili la Lissu lazima liende nao wote waliohusika
 
Mungu anawapa kinywa now cha kunena hovyo soon wataanza kulana wao kwa wao
Au ndio albadir inafanya kaz
 
Tutaona mengi, tutasikia mengi na tutashuhudia mengi...kila mtuhumiwa atatoka na kauli yake kivyake. Kuna mwingine ameamua kuachilia michango ya kusaidia matibabu wiki mbili baada ya tukio. Yuko mwingine yuko tayari kusimamia matibabu baada ya kusikia hali ya mgonjwa inazidi kuimarika na [B]Mlaleo[/B] yeye kaja kivyaKE na matusi...viti vinapata moto na kuvikalia lazima uwe fyatu. Mwingine naambiwa kawa kama gurudumu, anajazwa upepo aweze tu kumaliza siku salama, laana iko kazini.
Yupi huyo anayejazwa upepo? Nini kimemsibu
 
Machadema bana yanapenda kujifurahisha kweli. Hicho unachokiita kiwewe kizito kipo wapi? Unafikiri hili tukio la Kibaraka Lissu litabadili fikra za wazalendo kwenye utawala huu? Hakuna kitachobadilika na kwa kuwa hamuhitaji msaada kutoka upande wa pili basi muendelee kumuuguza mgonjwa wenu na sisi tutaendelea kulitumikia taifa kama kawaida haturudi nyuma na vibaraka wote lazima wanyooshwe!
Hivi vitisho watishie hawara zako jitoe tu fahamu mpaka sasa hivi anaenyooshwa ni nani hivi uzalendo ni kwa nchi au kwa maneno ya raisi .....ccm haitawali milele thats a promise na polisi hawatoweza kushinda nguvu ya umma thats another promise nnchi imewashinda sasa ni mwendo wa smg but its a matter of few more steps the weak will give up
 
Ila mleta uzi unafurahisha sana,kelele zote mnazopiga,mlitegemea msijibiwe kweli. Ngabu alionya hapa hapa semeni yote ila siku mkijibiwa mvumilie. Na hapa bado mzee mzima hajafungua mdomo.Raha ya mjadala ni kujadiliana bwana. Unataka useme wewe tu?
 
Yalivokuwa maropokaji kuna siku yatajisahau yataropoka tu,
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kuuliza, je yawezekana wakuu wa vyombo mbali mbali nchini walijua kilichokuwa kinaendelea kuhusu hatma ya Mh. Tundu Antiphas Lissu? Je yawezekana waratibu na watekelezaji walikuwa na uhakika Mh. Tundu Lissu hangeendelea kuwa hai saa 24 baada ya kumiminiwa idadi kubwa ya risasi mwilini?

Ukweli kwamba Mwenyezi Mungu kasikiliza maombi ya wengi na hivyo kumuepusha na kifo Mh. Tundu Antiphas Lissu, kumewachanganya wahusika hadi kila moja anaibuka na tamko lake! Je kuibuka kwa kauli na vitendo kutoka kwa viongozi mbalimbali huku hali ya Mh. Tundu Antiphas Lissu ikiendelea kuimarika, kunatupa picha gani?

Hali hii bila shaka imesababishwa na kiwewe kizito kilichowakumba washauri, waratibu, na watekelezaji wa jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu! Tusubiri kuona mengi, kusikia mengi na kushuhudia mengi kwani walichopanga kutenda hawa waovu Mwenyezi Mungu kawakatalia na sasa wanahaha nafsi zao zikiwasuta!

Unamaanisha Dereva? ndio maana anapatiwa msaada wa kisaikolojia nje ya nchi kwa zaidi ya wiki mbili?
 
Mpumbavu ni wewe! Kwani huoni kuwa watu wameanza kuweweseka? Kule kutapatapa ni mwanzo wa utimilifu wa duwaa ya albadir iliyo somwa juzijuzi.
Mmeshakuwa chama cha albadir sasa. Ndio maana Dr. aliona mbali akasepa.
 
Matamko yatakuja mengi tusubirie na zaidi mpango wa watu wengi haunaga siri iko siku yatabumbuluka baada ya wao kusalitiana wenyewe kwa wenyewe ...damu ya mtu inayomwagika kwenye ardhi ambaye hana hatia haidondoki bure
 
Back
Top Bottom